Jumanne, 07 Shawwal 1445 | 2024/04/16
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria Maandamano ya Wanaharakati wa Kike (Shaabat) wa Hizb ut Tahrir “Wanawake wa al-Sham Wanalia kwa Sauti Kuu, Yuko Wapi Mu’tasim! Je, Kuna Yeyote wa Kuitikia Kilio Chao?"

Wanaharakati wa kike (Shaabat) wa Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria waliandaa maandamano katika mji wa Idlib kupinga kauli za khiyana za hivi karibuni za serikali ya Uturuki zinazotaka kuwepo na mazungumzo kati ya wanamapinduzi na utawala wa kihalifu wa Bashar al-Assad, yenye kichwa “Wanawake wa al-Sham Wanalia kwa Sauti Kuu, Yuko Wapi Mu’tasim! Je, Kuna Yeyote wa Kuitikia Kilio Chao?"

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria Maandamano ya Idlib “Jikomboeni kwa Nguvu Kutokana na Utegemezi na Chukueni kwa Nguvu Mradi wa Khilafah... Mwenyezi Mungu Atakunusuruni”

Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika mji wa Idlib yaliyo anza katika msikiti wa Al-Hussein baada ya swala ya Ijumaa na yakanyanyua kauli mbiu “Jikomboeni kwa Nguvu Kutokana na Utegemezi na Chukueni kwa Nguvu Mradi wa Khilafah...

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria Maandamano ya Killi “Hakuna Maridhiano wala Hakuna Suluhisho la Kisiasa na Serikali ya Mhalifu.”

Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika mji wa Killi kupinga kauli za khiyana za hivi karibuni za serikali ya Uturuki zinazotaka kuwepo na mazungumzo kati ya wanamapinduzi na utawala wa kihalifu wa Bashar al-Assad, yenye kichwa “Hakuna Maridhiano wala Hakuna Suluhisho la Kisiasa na Serikali ya Mhalifu”.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu