Al-Waqiyah TV: Silsila "Kalima katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah!"
- Imepeperushwa katika Al-Waqiyah TV
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Al-Waqiyah TV: Silsila "Kalima katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah!"
Al-Waqiyah TV: Silsila "Kalima katika Kumbukumbu ya Karne Moja ya Kuvunjwa kwa Khilafah!"
Chini ya uongozi wa Amir wa Hizb ut-Tahrir, mwanachuoni mkubwa Ata bin Khalil Abu Al-Rashta, Mwenyezi Mungu amhifadhi,
Mwezi wa Rajab mwaka huu ni kumbukumbu ya tukio la kusikitisha katika historia ya Ummah wa Kiislamu, miaka 100 ya Hijria tangu kuanguka kwa dola yake tukufu na uongozi wake wa Kiislamu: Khilafah mikononi mwa adui wa Uislamu Mustafa Kemal na serikali za kikoloni za Magharibi.
Afisi Kuu ya Habari: Amali za Kiulimwengu za Hizb ut Tahrir katika Kumbukumbu ya Miaka Mia Moja ya Kuvunjwa Khilafah 1442 H - 2021 M
Kitengo cha wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut-Tahrir kimezindua kampeni pana ya kunyanyua utambuzi wa kiulimwengu juu ya dhulma kubwa na ukiukaji ambao Waislamu wanakabiliwa nao nchini Sri Lanka,
Sehemu za amali zilizoandaliwa na Hizb ut-Tahrir kote ulimwenguni kumnusuru na kumuunga mkono Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw).
Afisi Kuu ya Habari: Kampeni ya Kitengo cha Wanawake "Komesha Vitisho kwa Wanawake WachaMungu wa Kiislamu wa Kyrgyzstan!"
Wilayah ya Syria: Kampeni "HAPANA kwa Uhalifu wa Suluhisho la Kisiasa; NDIO Kuangushwa kwa Serikali na Kusimamishwa Khilafah!"
Baada ya uunganishaji kwa nguvu wa India wa Kashmir mnamo Alhamisi, 19 Agosti 2019 M, Waislamu Kashmir wanakabiliwa na ukandamizwaji wa kikatili kutoka kwa dola ya kibaniani.
Mnamo 11 Julai, 1995, majeshi ya Serbia yalivamia eneo la Waislamu la Srebrenica nchini Bosnia ambapo maelfu ya Waislamu walikuwa wametafuta himaya kutokana na mashambulizi ya jeshi la Serbia kaskazini mashariki mwa Bosnia.