Mauaji ya Wasichana ni Matunda ya Mfumo wa Kibepari Unaofadhilisha Matamanio na Kujiingiza katika Anasa za Muda Mfupi
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mauaji ya wanawake wawili Wakenya mwezi uliopita yanaangazia hali inayotia wasiwasi katika unyanyasaji wa kijinsia katika nchi hii ya Afrika Mashariki, huku wanaharakati wakitaka hatua zaidi za serikali kuwalinda wanawake.