Saudi Arabia Yakejeli Mfumo wa Kijamii wa Kiislamu
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Timu ya soka ya Saudi Arabia imemsajili Cristiano Ronaldo kwa mkataba wa michezo wa dolari milioni 175, hivyo yeye na familia yake watahamia Saudi Arabia. Watoto wake wanne wataandamana na mama yao, ambaye si mke wake kisheria.