Ijumaa, 10 Shawwal 1445 | 2024/04/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Maana ya Hadithi: “Ummah wangu utagawanyika makundi sabiini na tatu.”

Hadithi unayoiulizia haisimuliwi katika muundo uliowasilishwa katika swali lako, na tulikuwa tumeiweka wazi hadithi hii katika Jibu la Swali lililochapishwa mnamo 24 Rabii 'ul-Akhir 1439 H sawia na 11/01/2018 M, katika mapokezi kadhaa, ambayo mengine ni pamoja na nyongeza tofauti, na tulihitimisha mwishoni mwa jibu kuwa: (hadithi inayohusu mgawanyiko wa Ummah katika madhehebu 73 bila nyongeza yoyote ni hadithi sahihi…

Soma zaidi...

Zaka ya Washirika katika Mbuzi

Nimeona katika Jibu la Swali aliloulizwa Amir (Mwenyezi Mungu amhifadhi) kuhusiana na zaka ya pesa za kushirikiana, kwamba hukmu inatafautiana na yaliyokuja katika kitabu cha “Mali katika Dola ya Khilafah” kuhusu zaka ya washirika wa mbuzi. Ambapo katika kitabu cha Al-Amwaal imekuja maneno yafuatayo:

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu