Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Minbar ya Ummah: Kisimamo cha Killi: "Matukio ya Daraa (Tafas) Yathibitisha Mwendelezo wa Mapinduzi na Udhaifu wa Serikali!"

Kisimamo katika kijiji cha Killi Al-Khansa viungani mwa Idlib, kwa anwani "Matukio ya Daraa (Tafas) yathibitisha mwendelezo wa mapinduzi na udhaifu wa serikali."

Jumatatu, 12 Jumada Al-Akhir 1442 H, sawia na 25 Januari 2021 M

Kumbuka: "Minbar ya Ummah" ni kituo maalumu kinachopeperusha rekodi zilizochaguliwa za Khilafah zilizoandaliwa na watoto wa Ummah wetu. Rekodi hizo hazikutolewa na Hizb ut Tahrir au vitengo vyake rasmi; bali ni rekodi kutoka kwa watoto wa Ummah wa Kiislamu; ambazo zinapeperushwa katika tovuti yetu ili kueneza kheri kwa ajili ya Uislamu na Waislamu.

Imebadilishwa mara ya mwisho mnamoAlhamisi, 28 Januari 2021 11:56
Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.