Pelekeni Mapambano kwa Adui, Kupitia Kusimamisha Tena Khilafah ambayo Itaikomboa Kashmir Iliyokaliwa kwa Mabavu na Kuunganisha Pakistan na Afghanistan kama Dola Moja
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa kujibu maneno ya Luteni Jenerali Upendra Dwivedi wa India na Waziri wa Ulinzi Rajnath Singh, ni wakati sasa wa uongozi wa kijeshi wa Pakistan kuchukua hatua madhubuti. Maneno matupu kamwe hayatoshi, wakati hatua ndizo zinazohitajika, kujibu vitendo vya adui.