Watawala Hawajali huku Mamilioni Wakiteseka katika Mafuriko Enyi Watu wenye Nguvu! Waondoeni Watawala hawa Wasiojali, Wenye Moyo Baridi na Simamisheni Tena Khilafah Mahali Pao
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Theluthi moja ya Pakistan ilikabiliwa na mafuriko. Zaidi ya watu 1500 walipoteza maisha. Nyumba milioni moja ziliharibiwa. Watu milioni thelathini na tano waliathiriwa na mafuriko, wakiwemo watoto milioni kumi na sita.