Alhamisi, 18 Ramadan 1445 | 2024/03/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Ni Khilafah Pekee Ndiyo Iwezayo Kuchukua Nafasi ya Mpango wa Uchumi wa Amerika Unaosambaratika

Katika usikilizwaji wa Kamati ya Seneti ya Benki wa tarehe 28 Septemba 2021, Waziri wa Fedha, Janet L. Yellen, aliwaonya watunga sheria wa Amerika mnamo Septemba 28 juu ya matokeo ya “msiba mkuu”, pindi Bunge la Marekani likishindwa kuongeza au kusitisha ukomo wa kisheria wa deni hadi Oktoba 18, 2021, akisema, kuchelewa kutapelekea mporomoko wa kujiumiza wenyewe wa kiuchumi na mgogoro wa kifedha.

Soma zaidi...

Mafunzo Kutokana na Kufeli Kwa Harakati za Kisiasa za Kiislamu Zilizopita kwa Ummah kwa Jumla na kwa Wale Wanaochukua Mamlaka Haswa kwa Ajili Ya Kusimamisha Mamlaka Halisi ya Kiislamu

Ummah wa Kiislamu una hamu ya kweli ya Khilafah kwa njia ya Utume kama ilivyotajwa na Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw). Katikati ya magofu ya udhalilishaji na uharibifu unaousibu ulimwengu wa Kiislamu, leo, Ummah wa Kiislamu unasubiri siku ya ushindi.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu