Kuhasiwa kwa Nguvu Wanawake wa Kiislamu wa Uighur Kumethibitishwa na Ushuhuda wa Moja kwa Moja
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo tarehe 4 Septemba 2020 gazeti la The Guardian limeripoti juu ya ushuhuda wa mwalimu Muislamu wa Kiuighur aliyelazimishwa kufanyiwa hatua nyingi za kudhibiti kizazi baada ya kupata vitisho vya mara kwa mara kwa maisha yake na ya familia yake.