Wilayah ya Sudan: Matembezi ya Hizb ut Tahrir Kumkabidhi Al-Burhan Barua ya Wazi
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan iliandaa matembezi ya kishindo yaliyoanzia Msikiti Mkuu wa Khartoum hadi Ikulu ya Jamhuri, baada ya Swala ya Adhuhuri, mnamo Jumapili tarehe 15 Jumada al-Akhirah 1444 H sawia na 08/01/2023 M, ili kumkabidhi Al-Burhan barua ya wazi.