Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Afisi Kuu ya Habari: Angazo Maalum "Baada ya Miaka Ishirini ya Vita vya Msalaba, Afghanistan Yaelekea Wapi?!"

 

Mnamo 07/10/2001 M, Amerika, kinara wa ukafiri, na mshirika wake Uingereza walianzisha vita vya kinyama dhidi ya Waislamu, waliishambulia kwa mabomu miji ya Afghanistan ya: Kabul, Kandahar, Jalalabad na mengineyo na makombora ya Tomahawk, na kurusha makombora na aina anuwai za silaha. zilitegemea anga, maji na ardhi za Waislamu ambazo ziliruhusiwa kwao na watawala wasaliti, haswa katika Pakistan na Uzbekistan. Hili liliendelea kwa wiki kadhaa mfululizo. Licha ya ujasiri mkubwa na ukakamavu wa hali ya juu ulioonyeshwa na Waislamu katika upinzani kwa wavamizi, kwa silaha hafifu walizokuwa nazo ikilinganishwa na nguvu za wavamizi, walakini ukali wa shambulizi la kikatili kutoka kwa wavamizi na usaliti wa watawala pambizoni mwa Afghanistan ulisababisha kuanguka kwa Afghanistan na kwenda mikononi mwa Amerika mnamo 2001 M.

Idadi ya vifo vya Waafghani katika robo karne iliyopita ilifikia zaidi ya milioni mbili, ikimaanisha kwamba idadi hii kubwa ya wahasiriwa ilishuka tu tangu uvamizi wa Urusi nchini Afghanistan mnamo 1979 M hadi baada ya uvamizi wa Amerika mnamo 2001 M. Kujitolea huku kukubwa kwa Afghanistan kulimalizika, na la kusikitisha sana, ni kuapishwa kwa Hamid Karzai kama mtawala kibaraka wa Amerika nchini Afghanistan.

Hati ya Bonn, ambayo ilianzisha katiba mpya ya Afghanistan mnamo 12/6/2001 M, ilisainiwa na Amerika kutoka Azimio la Baraza la Usalama Nambari 1883 kuiunga mkono, na katiba iliyomo kwenye waraka huo iliipa Amerika dori muhimu katika mavazi ya Umoja wa Mataifa katika kuamua mambo ya ndani na ya nje ya watu wa Afghanistan, na katika kusimamia kila jambo dogo na kubwa nchini Afghanistan, hati hiyo iliainisha uwepo wa Amerika katika kuanzishwa kwa chombo cha kikatiba, katika kuanzishwa kwa shirika la utumishi wa umma, katika kazi na mamlaka ya serikali, na katika mabadiliko yoyote yanayohusiana na sheria za kiutaratibu za taasisi zote za serikali, na katika ufuatiliaji wa tekelezaji wa nyanja zote za makubaliano, ikimaanisha kwamba Amerika imejiweka yenyewe kama mtawala halisi wa dola hii hadi atakapo Mwenyezi Mungu. Na hili ndilo linalodhihirisha siri za Amerika kwamba nia ni kulitawala eneo la Kiislamu, na wala sio kuwepo utawala (huru) kama inavyodai, bali kwamba vita vyake, ambavyo ilivitangaza kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi, sio chochote isipokuwa mlango wa vita vya msalaba dhidi ya Uislamu na Waislamu, kukaza udhibiti juu ya nchi yao, na kuutenga Uislamu na maisha yao kama walivyofanya na wanafanya nchini Afghanistan na Iraq, na kama ilivyoandikwa katika mradi wao (Mashariki ya Kati Kuu). Ni vita vya msalaba ambavyo vilivyofichuliwa na amali za jeshi, kisiasa na kielimu zilizofanywa na Amerika ambapo zililipuka katika nchi za Kiislamu. Hakika, Bush Mwana alizifichua tangu siku za mwanzo za matukio ya 9/11, katika hotuba yake tarehe 16/09/2001, ambapo alitangaza kwamba vita vyake dhidi ya ugaidi ni vita vya msalaba, na haikuwa imepita ila siku nne tu tangu mlipuko huo mkubwa, ambazo hazitoshi kukamilisha uchunguzi wa tukio ambapo haiwezi hata kufikia ushuri yake, ambapo inaonyesha kile kilichofichwa katika hazina ya wanasiasa wa Amerika dhidi ya Uislamu na Waislamu. Na ingawa aliviita (vita vya msalaba) kwa kuwakusanya maadui wa Uislamu pambizoni mwake, aliwaleta Waislamu pamoja kumpinga. Na huu ndio upinzani nchini Afghanistan, ulioilazimisha Amerika kurudi nyuma na kutafuta njia mbadala nchini Afghanistan. Katika kipindi cha miaka ishirini iliyopita, vikosi vya Amerika, pamoja na vikosi vya kimataifa (ISAF) na uongozi wa NATO, havikuweza kupanua ushawishi wa uvamizi (kikamilifu) isipokuwa tu katika mji mkuu, huku maeneo yote ya Afghanistan nje ya Kabul yakisalia mandhari ya silaha operesheni za kisilaha ambazo hazikukoma hata siku moja baada ya uvamizi wa Amerika wa Afghanistan.

Hasara ambazo Amerika ilipata wakati wa uvamizi wake wa Afghanistan zinathibitisha kwamba Amerika ilikuwa ikiondoka Afghanistan ikiburuta mkia wa kushindwa bila ya kutoka na mazungumzo ambayo yangeihifadhi kutokana na ushawishi ambao haingeweza kuufikia ndani ya vita!

Na sisi katika Hizb ut Tahrir tunatambua kwamba katika Taliban kuna ndugu ambao ni wakweli wenye ikhlasi basi ni kwa watu hawa ndio tunawaelekea kwa kuwaambia:

1- Sahihisheni jambo hilo na muache kujadiliana na Amerika, ili msiiwezeshe Amerika kufikia lile ambalo haingeweza kulifikia katika vita…

2- Na kinaikeni kuwa kadhia kuu ya Waislamu ni kuregeshwa kwa Khilafah baada ya kutoweka kwa muda mrefu, kwani ni faradhi ya Mwenyezi Mungu (swt) na utiifu kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)...

3- Na jueni kuwa kushiriki katika utawala wa mchanganyiko wa Uislamu na usekula haukubaliki na Mwenyezi Mungu, kwani Al-Qaqiy Al-Aziz hakubali chochote isipokuwa kizuri ...

Hii ndio haki فَمَاذَا بَعْدَ الْحَقِّ إِلَّا الضَّلَالُ﴿ "Na kipo kitu gani baada ya haki, isipokuwa upotovu tu?" [Yunus: 32]. Na kufuata haki ndio kutakakoikoa Taliban, nchi hii, na watu wake, na Waislamu wote ... Hivi ndivyo Hizb ut Tahrir anakushaurini, kama tulivyokushaurini mwanzoni mwa utawala wenu kwa kutangaza Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume. Mkakataa kisha mkajua kuwa mumekosea kwa kukataa huko kama ilivyo pokewa kutoka kwa Mulla Omar Mwenyezi Mungu amrehemu katika mojawapo ya vikao vyake lakini baada ya kupita zama  ... Sisi hapa tena tunaikariri naswaha je, yupo wa kuitikia?

يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اسْتَجِيبُوا لِلَّهِ وَلِلرَّسُولِ إِذَا دَعَاكُمْ لِمَا يُحْيِيكُمْ وَاعْلَمُوا أَنَّ اللَّهَ يَحُولُ بَيْنَ الْمَرْءِ وَقَلْبِهِ وَأَنَّهُ إِلَيْهِ تُحْشَرُونَ﴿

"Enyi mlio amini! Muitikieni Mwenyezi Mungu na Mtume anapo kuitieni jambo la kukupeni uzima wa milele. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu huingia kati ya mtu na moyo wake, na kwamba hakika kwake Yeye tu mtakusanywa." [Al-Anfal: 24].

Ijumaa, 20 Dhu al-Hijjah 1442 H sawia na 30 Julai 2021 M

- Kufuatilia Angazo kwa Lugha Nyenginezo -

Ar

En

Tr

Ur

Gr

Kalima ya Video ya Mhandisi Salah Eddine Adada (Abu Muhammad)

Mkurugenzi wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Kuhusu Athari za Vita vya Msalaba nchini Afghanistan 

Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Je! Kuna Nini Baada ya Miaka 20 ya Vita dhidi ya (Ugaidi)?

Jumapili, 05 Safar Al Khair 1443 H sawia na 12 Septemba 2021 M

Kwa Maelezo Zaidi Bonyeza Hapa

Al Waqiyah TV: Filamu ya Makala "Mavuno ... Miaka 20 ya Vita dhidi ya Uislamu!"

- Video ya Makala -

Iliyotengenezwa na Chaneli ya Al-Waqiyah kwa ajili ya utolewaji wa vyombo vya habari

Kwa mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka Ishirini ya Vita Amerika na Ulaya dhidi ya Afghanistan na Iraq kwa kisingizio cha matukio ya 9/11 na vita dhidi ya ule wanaouita kwa udanganyifu (Ugaidi).

Jumamosi, 11 Safar 1443 H sawia na 18 Septemba 2021 M

- Tangazo la Video ya Makala -

- Video Kamili ya Makala -

- Al-Waqiyah TV -

[Kipindi cha Maswala ya Umma]

"Kikao Maalum Kuhusu Risala ya Hizb ut Tahrir kwa Viongozi wa Taliban"

"Kikao maalum kuhusu risala iliyotumwa na Hizb ut Tahrir pamoja na ujumbe wa miongoni mwa Mashababu wake bora kwenda kwa uongozi wa harakati ya Taliban mwanzoni mwa Septemba 2021 M.

Wageni wa Kipindi:

Dkt. Muhammad Malkawi / Jordan

Ustadh Muslim Baghlani / Afghanistan

Ustadh Adnan Khan/ Uingereza

Jumamosi, 23 Rabi' al-awwal 1443 H - 30 Oktoba 2021 M

- Sehemu ya Mahojiano ya Kiingereza -

- Sehemu ya Mahojiano ya Kiarabu -

Jibu la Swali Lililotolewa na Hizb ut Tahrir:

"Athari za Kisiasa nchini Afghanistan"

Siku ya Arafah – Jumatatu 09 Dhu al-Hijjah 1442 H sawia na 19 Julai 2021 M

Ili Kusoma Bonyeza Hapa

- Alama Ishara za Angazo -

#أفغانستان  Af Facebook  Afg Twetter  Afg Inst
#Afghanistan Af Facebook Afg Twetter Afg Inst
#Afganistan  Af Facebook  Afg Twetter  Afg Inst

Matoleo, Majibu na Vijitabu

Mpeni Raj Mkoloni Amerika Inayoporomoka Msukumo wa Mwisho kwa Kuziunganisha Pakistan, Afghanistan na Asia ya Kati kama Dola Moja ya Kiislamu ya Khilafa

7 Muharram 1443 H, 15 Agosti 2021 M

"Athari za Kisiasa nchini Afghanistan"

Siku ya Arafah – Jumatatu 09 Dhu al-Hijjah 1442 H sawia na 19 Julai 2021 M

Wilayah Afghanistan

Kushiriki katika Mazungumzo ya Amani Kunapelekea Kushirikiana na Adui Mbaya Zaidi wa Uislamu na Waislamu

01 Jamada al-Thani 1440 H - 06 Februari 2019 M

Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Joe Biden Lazima Aangalie Mifarakano ya Ndani ya Marekani badala ya Kuzungumza Upuuzi kuhusu Afghanistan!

20 Jumada II 1443 H - 23 Januari 2022 M

Kushughulikia Matatizo ya Kiuchumi ya Afghanistan Haiwezekani Bila Utabikishaji wa Kina wa Uchumi wa Kiislamu!

19  Jumada II 1443 H - 22 Januari 2022 M

Umoja wa Mataifa Umeanzisha Mchezo wa Kisaikolojia na Kisiasa kwa Watu wa Afghanistan Chini ya Pazia la Misaada ya Kibinadamu.

07 Jumada II 1443 H - 10  Januari 2022 M

Kumiliki Zana za Kinyuklia Kunathibitisha Uwezo wa Umma wa Kiislamu Kuhakikisha Kujitosheleza, kuwa Huru na Khilafah Imara

05 Rabi-ul-Awwal 1443 H - 12 Oktoba 2021 M

Baada ya Taarifa ya Naibu Waziri wa Kigeni wa Amerika, Asiyekuwa na Ruwaza Ndiye Pekee Atakayedumisha Muungano pamoja na Washington

4 Rabi' I 1443 H - 11 Oktoba 2021 M

Janga la Njaa nchini Afghanistan: Sakata Mpya ya Mfumo wa Kiulimwengu

3 Rabi' I 1443 H - 10 Oktoba 2021 M

Je! Kuna Nini Baada ya Miaka 20 ya Vita dhidi ya (Ugaidi)?

05 Safar 1443 H - 12 Septemba 2021 M

Kufa Shahidi kwa Syed Ali Gilani Kunahitaji kwamba Takbir ya Ushindi na Bendera ya Kalima Zipazwe katika Kashmir Iliyokaliwa, baada ya Kukombolewa Kwake na Jeshi la Pakistan kwa Jihad Iliyobarikiwa.

25 Muharram 1443 H - 02 Septemba 2021 M

Hizb ut Tahrir / Wilayah Afghanistan Yawapa Hongera Watu wa Afghanistan na Ummah Wote wa Kiislamu kwa Kutamatisha Uvamizi wa Amerika na NATO!

23 Muharram 1443 H - 31 Agosti 2021 M

Musktakbali Mwema kwa Wanawake wa Afghanistan Utapatikana tu Chini ya Kivuli cha Nidhamu ya Khilafah

20 Muharram 1443 H - 28 Agosti 2021 M

Pazeni Sauti kwa Ajili ya Kuachiliwa Huru kwa Muneeb ur Rehman kutokana na Utekaji Nyara. Kulingania Kwake Kuunganishwa kwa Ulimwengu wa Kiislamu Chini ya Khilafah, ni Wajib sio Uhalifu

19 Muharram 1443 H - 27 Agosti 2021 M

Watawala wa Pakistan Wanaishawishi Taliban ya Afghanistan katika Mtego wa Uhalali wa Kimataifa, Licha ya Kuwa Umeiumiza Pakistan Kisiasa na Kiuchumi

16 Muharram 1443 H - 24 Agosti 2021 M

Kwa Jina la Kugawanya Mamlaka, Watawala wa Pakistan Wanajitahidi Kuokoa Muundo wa Dola ya Kikoloni ya Amerika nchini Afghanistan

11 Muharram 1443 - 19 Agosti 2021 M

Miaka Ishirini ya Uvamizi Imeiacha Afghanistan ikiwa Magofu na Wanasiasa wa Denmark Wanashiriki Kamili katika Uovu Huu!

9 Muharram 1443 H - 17 August 2021

Afghanistan Imo Ndani ya Majaribio ya Kihistoria baina ya Kusimamisha Khilafah au Kutabikisha Nidhamu Zilizotungwa na Wanadamu; Msipoteze Wakati Simamisheni Khilafah!

07 Muharram 1443 H - 15 Agosti 2021 M

Watu Wenye Ushawishi na Viongozi wa Kisiasa Hawapaswi Kuwasukuma Waafghani Kugeuka kuwa Watu wa Mstari wa Mbele wa Nidhamu ya Kidemokrasia na Wamiliki wa Pasipoti Nyingi!.

05 Muharram 1443 H -  13 Agosti 2021 M

Utegemezi wa Watawala wa Pakistan juu ya Dola za Wakoloni, Haswa Amerika, ndicho Kikwazo kwa Utawala wa Uislamu wa Kieneo na Kiulimwenguni.

05 Muharram 1443 H -  13 Agosti 2021 M

Tunatoa Rambirambi Zetu za Dhati kwa Kuuwawa Shahidi Hamid ur Rahman Sharifi,    Mbebaji Ulinganizi wa Hizb ut Tahrir!.

03 Muharram 1443 H -  11 Agosti 2021 M

Vita vya Uharibifu na Amani ya Fazaiko Ndio Urithi Mkuu wa Amerika nchini Afghanistan!

18 Dhu al-Hijjah 1442 H - 18 Julai 2021 M

Ni wazi Kutokana na Maelezo ya Usalama wa Kitaifa kwamba Serikali ya Bajwa-Imran Haina Ruwaza Nyengine Ila ya Utumwa kwa Dola za Wakoloni

23 Dhu al-Qa'adah 1442 H - 04 Julai 2021 M

Jamhuri ya Afghanistan Imegeuka kuwa Kichinjio; Je kuna Njia Yoyote ya Kutoroka?

28 Jumada I 1442 H - 12 Januari 2021

Wafuasi wa Machiavelli Hawawezi Kuondoa Ufisadi

11 Muharram 1442 H - 30 Agosti 2020 M

Lini Mujahideen wa Zamani watajifunza kutokamana na wao kudungwa mara kwa mara na Amerika?!

18 Rajab 1441 H - 13 Machi 2020 M

Jamhuri, Demokrasia na Chaguzi za Kidemokrasia Zimeshindwa Nchini Afghanistan; Muendelezo wowote wa Juhudi hii itakuwa ni marudio ya jaribio hili lililoshindikana

16 Rajab 1441 H - 11 Machi 2020 M

Makala, Habari na Maoni

Uongozi wa Taliban ulianzia Oslo ambako Wasaliti wa Shirika la Ukombozi wa Palestina (PLO) Walianzia

23 Jumada II 1443 H - 26 Januari 2022 M

Mkutano wa OIC jijini Islamabad ni wa Kuwafanya Waislamu wa Afghanistan Waipigie Magoti Amerika

19 Jumada I 1443 H - 23 Disemba 2021 M

Watoto Wanazaliwa Kufa kwa Njaa nchini Afghanistan bila ya Khilafah!

18 Jumada I 1443 H - 22 Disemba 2021 M

Watawala wa Waislamu Wambakisha Hai Bwana wao wa Kimagharibi

8 Jumada I 1443 H - 12 Disemba 2021 M

 Je, kuna Mfumo Wowote Utakaokomesha Kiburi cha Amerika katika Ulimwengu wa Kiislamu?

03 Rabi' II 1443 H - 08 Novemba 2021 M

Machafuko ya Afghanistan hayawezi Kutatuliwa kwa Kiasi chochote cha Pesa

16 Rabi' I 1443 H - 23 Oktoba 2021

Kupungua kwa Idadi ya Watu Kwaipa Tumbojoto Singapore

10 Rabi' I 1443 H - 17 Oktoba 2021 M

Khilafah Pekee Ndiyo Iwezayo Kuchukua Nafasi ya Mpango wa Uchumi wa Amerika Unaosambaratika

01 Rabi ul-Awwal 1443 H - 08 Oktoba 2021 M

Serikali Mpya Nchini Afghanistan

10 Safar 1443 H - 17 Septemba 2021 M

Mafunzo Kutokana na Kufeli Kwa Harakati za Kisiasa za Kiislamu Zilizopita kwa Ummah kwa Jumla na kwa Wale Wanaochukua Mamlaka Haswa kwa Ajili Ya Kusimamisha Mamlaka Halisi ya Kiislamu

06 Safar 1443 H - 13 Septemba 2021 M

Ushindi wa Waislamu Utafuata kwa Kusimamishwa kwa Khilafah

1 Safar 1443 H - 08 Septemba 2021 M

Uhalali wa Kimataifa Utatupeleka Wapi?

28 Muharram 1443 H - 05 Septemba 2021 M

Sio Suala Kupata Mamlaka Pekee, Badala Yake Mamlaka Hayo Yanapaswa kuwa kwa Ajili ya Uislamu

17 Muharram 1443 H - 25 Agosti 2021 M

Imran Khan Anajaribu Kuficha Utumwa Wake wa Kisiasa na Kifikra kwa Magharibi kupitia Kuwathamini Waislamu wa Afghanistan

14 Muharram 1443 H - 22 Agosti 2021 M

Urongo wa Mrongo

3 Muharram 1443 H - 11 Agosti 2021 M

Vita vya Afghanistan: Kutoka Kwenye Uongo wa Ubabaishi Hadi Kwenye Ukweli wa Wazi!

29 Ramadhan 1442 H - 10 Mei 2021 M

Vita Virefu Zaidi vya Amerika

5 Ramadan 1442 H - 17 Aprili 2021 M

Ukiukaji wa Makubaliano; Tabia ya Kale ya Amerika!

27 Jumada II 1442 H - 09 Februari 2021 M

Mpango wa Khalilzad sio Kuleta Amani bali ni Kuisalimisha Taliban!

14 Jumada II 1441 H - 08 Februari 2020 M

Mbinu ya Amerika na Kupunguza Kisiasa Wanajeshi ndani ya Afghanistan

11 Jumada II 1441 H - 05 Februari 2020 M

Ahadi Tupu kwa Wanawake wa Afghan

27 Rabi ul-Awwal 1441 H - 24 Novemba 2019 M

Imran Khan Anajaribu Kuficha Utumwa Wake wa Kisiasa na Kifikra kwa Magharibi kupitia Kuwathamini Waislamu wa Afghanistan

14 Muharram 1443 H - 22 Agosti 2021

Vichwa na Uhakiki wa Habari

Amerika Yasema Misheni nchini Afghanistan Imefeli huku Pakistan Ikitoa 'Hifadhi Salama' kwa Taliban

13 Jumada al-Awwal 1443 H - 17 Disemba 2021 M

Ubeberu wa Kiuchumi wa Kimagharibi na Wanawake wa Kiafghani

02Jumada al-Awwal 1443 H - 04 Disemba 2021 M

Afisa wa Usalama wa Ngazi ya Juu wa Pakistan Akashifu Sera ya Magharibi ya Afghanistan kama Utelekezaji

03 Rabi ul-Thani 1443 H - 07 Novemba 2021 M

Msaada wa Kibinadamu kwa Afghanistan

06 Rabi ul-Awwal 1443 H - 13 Oktoba 2021 M

Afghanistan Yakabiliwa na Mtazamo Mzito wa Kifedha, Mkuu wa Zamani wa Benki Kuu Aonya

14 Muharram 1443 H - 22 Agosti 2021 M

 Udhalilishaji Mkubwa wa Sera ya Kigeni: Trump

14 Muharram 1443 H - 22 Agosti 2021 M

Amerika na Serikali Yake Kibaraka ya Kabul Zashindwa nchini Afghanistan

13 Muharram 1442 H - 21 Agosti 2021 M

Kiongozi wa Taliban Akataa Demokrasia, Kanda Yajibu Mapinduzi Hayo

13 Muharram 1443 H - 21 Agosti 2021 M

Taliban Yaichukua Afghanistan na Kuifanya Sasa Kushikilia Zaidi ya Nusu ya Miji Mikuu ya Mikoa

06 Muharram 1443 H - 14 Agosti 2021 M

Amerika Yaongoza Mashambulizi ya Anga dhidi ya Taliban

25 Dhu al-Hijjah 1442 H - 04 Agosti 2021 M

Serikali ya Afghan Yakumbana na  'Hali ya Sintofahamu'

22 Dhu al-Hijjah 1442 H - 01 Agosti 2021 M

India Yafikia Mazungumzo naTaliban

11 Dhu al-Hijjah 1442 H - 21 Julai 2021 M

Taliban Wameshinda Vita vya Silaha Je, Sasa Watashindwa Vita vya Kisiasa

04 Dhu al-Hijjah 1442 H - 14 Julai 2021 M

Taliban Yasema Inadhibiti Asilimia 85 ya Afghanistan

29 Dhu al-Qa'adah 1442 H - 10 Julai 2021 M

Waziri wa Kigeni wa China Kuzuru Asia ya Kati kwa Misheni ya SCO ya Amani ya Afghanistan

29 Dhu al-Qa'adah 1442 H - 10 Julai 2021 M

Amerika Yasema Maslahi Yake ya pamoja na Pakistan Yanakwenda Mbali zaidi ya Afghanistan

29 Dhu al-Qa'adah 1442 H - 10 Julai 2021 M

Amali za Hizb ut Tahrir Kote Ulimwenguni

Hizb ut Tahrir / Wilayah Afghanistan

Amali Zilizo Andaliwa kipindi cha Kampeni ya Kulimwengu, “Ukombozi wa Konstantinopoli Bishara Njema Ikatimia …Inafuatiwa na Bishara Njema Nyingine!”

Ijumaa, 15 Jumada al-Awwal 1441 H - 10 Januari 2020 M

Bonyeza Hapa

Video

  Wilayah Pakistan: Baada ya Amerika Kushindwa kwa Fedheha nchini Afghanistan, Simamisheni Khilafah Kummaliza Raj Mkoloni wa Kiamerika

Jumatano, 11 Dhu al-Hijjah 1442 H - 21 Julai 2021 M

Bonyeza Hapa

Angazo la Vyombo vya Habari

Harakati ya Kiislamu ya Taliban Kuchukua Moja ya Machaguo Mawili

Na: Saifullah Mustanir*

Gazeti la Al-Raya

Toleo 360

Mbinu ya Amerika na Kupunguza Kisiasa Wanajeshi ndani ya Afghanistan

Na: Saifullah Mustanir*

Gazeti la Al-Raya

Toleo 272

Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.