Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Minbar ya Ummah: Matembezi ya Takbira na Tahlil katika Mji wa Idlib!

Kuhuisha Sunnah ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) katika siku kumi za mwanzo za Dhul-Hijjah.

Matembezi ya Takbira na Tahlil katika Mji wa Idlib.

Alhamisi, 08 Dhul-Hijjah 1443 H – 07 Julai 2022 M

Kumbuka: "Minbar ya Ummah" ni kituo maalumu kinachopeperusha rekodi zilizochaguliwa za Khilafah zilizoandaliwa na watoto wa Ummah wetu. Rekodi hizo hazikutolewa na Hizb ut Tahrir au vitengo vyake rasmi; bali ni rekodi kutoka kwa watoto wa Ummah wa Kiislamu; ambazo zinapeperushwa katika tovuti yetu ili kueneza kheri kwa ajili ya Uislamu na Waislamu.

Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.