Afisi ya Habari
Wilayah Pakistan
| H. 29 Jumada I 1447 | Na: 15 / 1447 |
| M. Alhamisi, 20 Novemba 2025 |
Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Trump, Kupitia Azimio la Umoja wa Mataifa na kwa Msaada wa Watawala Waislamu, Anajiandaa Kuiweka Gaza na Eneo la Ash-Sham Chini ya Udhibiti wa Moja kwa Moja wa Kikoloni
(Imetafsiriwa)
Wakati wowote Amerika inaposhindwa kufanya jambo peke yake, hutumia mwavuli dhalimu wa Umoja wa Mataifa. Azimio la kishetani nambari 2803, lililoundwa kukandamiza upinzani wa Palestina, ni hila ya hivi karibuni ya Farauni wa leo, Trump. Kulingana na azimio hili ovu lililopitishwa tarehe 17 Novemba, ambalo serikali ya Pakistan ililipigia kura kwa aibu chini ya amri ya Trump, utawala wa Gaza utawekwa chini ya “Bodi ya Amani (BoP),” inayoongozwa binafsi na Farauni Trump. Azimio hilo hilo lililopitishwa tarehe 17 Novemba linatoa mamlaka kwa “Kikosi cha Kimataifa cha Utulivu,” kinachojumuisha wanajeshi kutoka nchi za Kiislamu, kulinda umbile la Kiyahudi na kupokonya silaha upinzani wa Palestina. Kivitendo, hili litakigeuza kuwa “Kikosi cha Ulinzi cha Israel” kinachofanya kazi chini ya amri ya Trump. “Bodi hii ya Amani (BoP)” na muundo wake wa usalama unaoambatana nayo itasimamia Gaza hadi tarehe 31 Disemba 2027, pamoja na uwezekano wa kuongezwa muda. Huu ndio mpango ule ule unaounda sehemu iliyokataliwa ya pendekezo la kusitisha mapigano kati ya Hamas na Israel, ambalo ulimwengu mzima wa Kiislamu unapinga na kuchukia, na ingawa watawala wasaliti wa Waislamu “wameliidhinisha”, hakuna aliyesubutu kulitekeleza kwa kuwaogopa watu wao wenyewe. Ndiyo maana mvinyo huu wa zamani umemiminwa kwenye chupa mpya chini ya lebo ya Umoja wa Mataifa.
Ni kwa ajili ya kutekeleza mpango huu wa Marekani na Wazayuni ndipo Jenerali Asim Munir alitembelea Jordan hivi karibuni, na sasa kwa kujibu ziara ya mfalme msaliti wa Jordan nchini Pakistan ni sehemu ya mfuatano huo huo. Lakini maafisa wanyoofu wa vikosi vya jeshi la Pakistan na Waislamu wa Pakistan wameungana katika azimio lao kwamba hawatawezesha kwa gharama yoyote mpango wowote unaouza Masjid al-Aqsa au Palestina, wala hawatavaa kofia za bluu na kutenda kama wanajeshi wa Kizayuni chini ya Trump na Netanyahu. Badala yake, wakati umefika sasa wa kuwaondoa makamanda wa kijeshi wanaotenda kama wasaidizi wa Trump, na kutuma majeshi ya Waislamu kuangamiza umbile la Kiyahudi na kuikomboa Masjid al-Aqsa kutokana na unajisi wa Kiyahudi.
Enyi Majeshi ya Pakistan na watu wenye ushawishi:
Kila mtu mwenye busara anaelewa kwamba njia pekee ya kusaidia Gaza ni kwamba majeshi ya Waislamu yasonge dhidi ya wavamizi wa Kiyahudi wa ardhi hiyo iliyobarikiwa. Mwenyezi Mungu asema:
[وَإِنْ يُقَاتِلُوكُمْ يُوَلُّوكُمُ الْأَدْبَارَ ثُمَّ لَا يُنْصَرُونَ] “Na wakipigana nanyi watakupeni mgongo, na tena hawatanusuriwa.” [Āali-‘Imrān 3:111].
Lakini watawala vibaraka na makamanda wa jeshi wa Waislamu wanasonga hatua kwa hatua kuelekea kulitambua umbile haramu la Kiyahudi chini ya jina la Makubaliano ya Abraham na anwani zengine. Huu ni usaliti wa amri za Uislamu, uuzaji wa Kiblah cha Kwanza, na udanganyifu kuhusu ardhi ya Waislamu ambayo ni ya Bayt al-Māl ya Ummah. Ni jukumu lenu kutoruhusu kiongozi yeyote wa kisiasa au kijeshi kukabidhi hata shubiri moja ya ardhi ya Kiislamu ya Palestina kwa Mayahudi au kafiri yeyote, bila kujali ni kafara gani ambayo Ummah lazima utoe. Pia ni wazi kwamba suluhisho la dola mbili si kitu chengine ila ni udanganyifu na ni haramu katika Uislamu. Kiuhalisia ni dola moja ya Kiyahudi, huku ile inayoitwa dola ya Palestina ikiwa hata haina mamlaka ya shirika la manispaa—iliyojengwa juu ya takriban 10% ya ardhi hiyo—na hata kwa hili watawala wa Kiyahudi hawataki. Hii si dola; ni gereza kubwa ambalo walinzi wake watakuwa wanajeshi wa Kiyahudi.
Enyi Majeshi ya Pakistani na watu wenye ushawishi:
Badala ya Pakistan, Misri, Jordan, Saudi Arabia, Indonesia, Ghuba, na dola za Mashariki ya Kati kuhamasisha kuangamiza umbile la Kiyahudi, zote zimechukua hatua ya kulilinda kwa kuchukua hatua dhidi ya upinzani wa Palestina. Lakini juhudi zao zote zitashindwa, na hakika wakati wa bishara njema za Mtume wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) umekaribia:
«لَتُقَاتِلُنَّ الْيَهُودَ فَلَتَقْتُلُنَّهُمْ...» “Hakika mtapigana na Mayahudi, na hakika mtawaua...” (Sahih Muslim)
Lakini bishara hii njema itatimizwa tu kupitia baadhi ya wanaume jasiri waumini ambao wataandaa njia ya mabadiliko jijini Islamabad na kutoa kiapo cha utiifu kwa Hizb ut Tahrir, uongozi wa kweli wa Ummah, ulioandaliwa kikamilifu kwa ajili ya kusimamishwa kwa Khilafah. Ni Khalifa wenu ndiye ambaye, kwa msaada wa Mwenyezi Mungu, atamaliza usiku huu mrefu wa udhalilifu, ataondoa mipaka inayowagawanya Waislamu, ataunganisha Afghanistan, Asia ya Kati, Ghuba, na maeneo mengine kuwa Khilafah moja, na kuwazunguka makafiri kutoka pande zote.
Kisha utafika wakati ambapo roho ya umbile la Kiyahudi itatetemeka, na Mayahudi watatafuta kimbilio nyuma ya miti na mawe. Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) aMEsema:
«لَا تَقُومُ السَّاعَةُ حَتَّى يُقَاتِلَ الْمُسْلِمُونَ الْيَهُودَ، فَيَقْتُلُهُمُ الْمُسْلِمُونَ، حَتَّى يَخْتَبِئَ الْيَهُودِيُّ مِنْ وَرَاءِ الْحَجَرِ وَالشَّجَرِ، فَيَقُولُ الْحَجَرُ أَوِ الشَّجَرُ: يَا مُسْلِمُ! يَا عَبْدَ اللَّهِ! هَذَا يَهُودِيٌّ خَلْفِي فَتَعَالَ فَاقْتُلْهُ»
“Kiyama haitakuja mpaka Waislamu watakapopigana na Mayahudi. Waislamu watawaua, hadi Yahudi ajifiche nyuma ya jiwe au mti, na jiwe au mti utasema: ‘Ewe Muislamu, Ewe mja wa Mwenyezi Mungu, kuna Yahudi nyuma yangu – basi njoo umuue.’” (Sahih Muslim)
Kwa hivyo wale wanaotafuta mafanikio wanapaswa kujitahidi kwa ajili ya njia hii.
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir
katika Wilayah Pakistan
| Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari Wilayah Pakistan |
Address & Website Tel: +(92)333-561-3813 http://www.hizb-pakistan.com/ |
Fax: +(92)21-520-6479 E-Mail: htmediapak@gmail.com |