Logo
Chapisha ukurasa huu

بسم الله الرحمن الرحيم

Wilayah ya Syria: Amali za Nusra kwa Msikiti wa Al-Aqsa na Ardhi Iliyobarikiwa

Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa msururu wa visimamo na maandamano kukemea unyanyasaji wa kinyama wa umbile la Kiyahudi dhidi ya wenye kuswali na kufanya itikaf katika Msikiti wa Al-Aqsa uliobarikiwa, ambao ulisababisha kujeruhiwa kwa Waislamu zaidi ya 600, wengi wao wakiwa vibaya, majeraha ya moja kwa moja kichwani.

Jumatatu, 28 Ramadhan Al-Mubarak 1442 H sawia na 10 Mei 2021 M

Kisimamo cha Mji wa Deir Hassan kwa Anwani "Nusra ya Al-Aqsa"

Jumatatu, 28 Ramadhan Al-Mubarak 1442 H sawia na 10 Mei 2021 M

00:00
00:00
00:00

Kalima ya Ustadh Amir Al-Salim katika Kisimamo "Nusra ya Al-Aqsa" katika Kijiji cha Sahara

Jumanne, 29 Ramadhan Al-Mubarak 1442 H sawia na 11 Mei 2021 M

00:00
00:00
00:00

Kisimamo katika Mji wa Armanaz kwa Anwani "Enyi Majeshi ya Waislamu, Al-Aqsa Inawalilia"

Jumanne, 29 Ramadhan Al-Mubarak 1442 H sawia na 11 Mei 2021 M

00:00
00:00
00:00

Kalima ya Ustadh Muhammad Al-Faqir katika Kisimamo cha Mji wa Armanaz

00:00
00:00
00:00

Kisimamo cha Mji wa Atareb kwa Anwani "Nusra ya Al-Aqsa"

Jumatano, 30 Ramadhan Al-Mubarak 1442 H sawia na 12 Mei 2021 M

00:00
00:00
00:00

00:00
00:00
00:00

Kalima ya Ndugu Muhammad Abu Isteef

Wakati wa Kisimamo Ambacho Kiliwalingania Majeshi Kuinusuru Palestina na Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa

Katika Mji wa Kiljibrin viungani mwa Aleppo Kaskazini

00:00
00:00
00:00

Kisimamo katika Mji wa Idlib kwa Anwani "Enyi Majeshi ya Waislamu, Al-Aqsa Inawalilia"

Jumatatu, 05 Shawwal 1442 H sawia na 17 Mei 2021 M

00:00
00:00
00:00

Kalima ya Ustadh Ridhwan Khauli katika Kisimamo cha Mji wa Idlib

00:00
00:00
00:00

Kalima ya Ustadh Abdullah Abu Muhammad katika Kisimamo cha Mji wa Idlib

00:00
00:00
00:00

Kisimamo cha Kijiji cha Babika Viungani wa Aleppo cha Kuunusuru Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa

Jumanne, 06 Shawwal 1442 H sawia na 18 Mei 2021 M

00:00
00:00
00:00

Kisimamo cha Mji wa Kufr Takharem kwa Anwani "Qibla cha Kwanza Kinawaiteni Enyi Majeshi ya Waislamu"

Jumatano, 07 Shawwal 1442 H sawia na 19 Mei 2021 M

00:00
00:00
00:00

Kisimamo cha Mkusanyiko wa Kambi za Al-Karamah kwa Anwani "Viongozi Wasaliti, Wahalifu na Vibaraka Kamwe Hawataikomboa Al-Aqsa"

Jumatano 07 Shawwal 1442 H sawia na 19 Mei 2021 M

00:00
00:00
00:00

Kisimamo cha Mji wa Deir Hassan kwa Anwani "Al-Aqsa Inaomba Nusra kwa Majeshi ya Waislamu"

Jumatano 07 Shawwal 1442 H sawia na 19 Mei 2021 M

00:00
00:00
00:00

Kisimamo cha Mji wa Suraan kwa Anwani "Al-Aqsa Inaomba Nusra kwa Majeshi ya Waislamu"

Alhamisi 08 Shawwal 1442 H sawia na 20 Mei 2021 M

00:00
00:00
00:00

Kisimamo cha Mji wa Aldana kwa Anwani "Al-Aqsa Inaomba Nusra kwa Majeshi ya Waislamu"

Alhamisi 08 Shawwal 1442 H sawia na 20 Mei 2021 M

00:00
00:00
00:00

Amali za Kupigia Debe za Hizb ut Tahrir katika Mji wa Idlib Ambazo Ziliyataka Nusra Majeshi ya Waislamu Kuukomboa Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa

Ijumaa, 09 Shawwal 1442 H, sawia na 21 Mei 2021 M

00:00
00:00
00:00

- Angazo la Amali ya Mji wa Idlib ya Kuunusuru na Kuomba Nusra kwa Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa -

00:00
00:00
00:00

Kalima ya Ustadh Ahmed Abdel-Wahab

Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Syria

Wakati wa Amali ya Mji ya Idlib, ya Kuunusuru na Kuomba Nusra kwa Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa

00:00
00:00
00:00

Kalima ya Sheikh Mahmoud Azizi (Abu Al-Fathi)

Wakati wa Amali ya Mji ya Idlib, ya Kuunusuru na Kuomba Nusra kwa Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa

00:00
00:00
00:00

Mashairi Yaliyohutubiwa Majeshi Ili Kuhamasika

Wakati wa Amali ya Mji ya Idlib, ya Kuunusuru na Kuomba Nusra kwa Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa

00:00
00:00
00:00

Ushiriki kutoka kwa Umati

Wakati wa Amali ya Mji ya Idlib, ya Kuunusuru na Kuomba Nusra kwa Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa

00:00
00:00
00:00

Dua ya Kumalizia

Ya Amali ya Mji ya Idlib, ya Kuunusuru na Kuomba Nusra kwa Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa

00:00
00:00
00:00

Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.