Logo
Chapisha ukurasa huu

Afisi ya Habari
Wilayah Sudan

H.  7 Muharram 1447 Na: HTS 1447 / 02
M.  Jumatano, 02 Julai 2025

Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki
katika Kikao cha Masuala ya Ummah

(Imetafsiriwa)

Sisi, katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, tunafuraha kuwaalika wanataaluma wa vyombo vya habari, wanasiasa, na wale wanaohusika na masuala ya umma kuhudhuria na kushiriki katika Kikao cha Masuala ya Ummah wa kila mwezi, ambacho mwezi huu kitakuwa na kichwa:

“Hatari ya Kuyatazama Mamlaka Kama Keki Inayopaswa Kugawanywa”

Wazungumzaji kwenye mkao ni:

1. Ustadh Muhammad Jaami’ (Abu Ayman) – Msaidizi wa Msemaji wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan.

2. Ustadh Al-Nadhir Mukhtar – Mwanachama wa Hizb ut Tahrir

3. Msimamizi wa Kikao: Ustadh Ibrahim Musharraf – Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan.

Tarehe: Jumamosi, 10 Muharram 1447 H – sawia na 05/07/2025

Wakati: 1:00 Adhuhuri

Mahali: Afisi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan, Port Sudan – Mtaa wa Al-‘Azamah – Mashariki mwa Uga wa Port Sudan

Kuhudhuria kwenu ni heshima kwetu, kwani kunaonyesha kujali kwenu mambo ya Ummah wenu.

Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir
katika Wilayah Sudan

Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari
Wilayah Sudan
Address & Website
Tel: 0912240143- 0912377707
http://www.hizb-sudan.org/
E-Mail: Spokman_sd@dbzmail.com

Template Design © Joomla Templates | GavickPro. All rights reserved.