Tofauti baina ya Upokezi wa Usomaji wa Aya za Qur'an (Tilawa) na Upokezi wa Rasimu ya Aya za Mwenyezi Mungu Kwetu Sisi
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kimfumo
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tafadhali waweza kunifafanulia mimi Hadith hii, kwa sababu nimechanganyikiwa, ambapo sikupambanukiwa baada ya kuregelea kauli za wanazuoni: