Jumamosi, 17 Muharram 1447 | 2025/07/12
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hakuna Ziada katika Qur’an Isiyo na Maana

Wanazuoni wa sarufi wamekubaliana kwamba (An) iliyotajwa baada ya ‘lamma’ na kabla ya kitenzi ni ziada. Kwa hivyo Ibn Al-Atheer alijibu vipi? Ibn Al-Atheer alimjibu mwanachuoni wa sarufi na kusema: wanazuoni wa sarufi hawana kauli katika masuala ya umbuji wa hali ya kujieleza kwa ufasaha. Na hawana maarifa ya siri zake, katika suala la kuwa wanazuoni wa sarufi.

Soma zaidi...

Uthabiti wa Hadithi, “Mimi Niko Mbali na Wale Walioishi Siku Arubaini baina ya Makafiri”

Ni upi uthabiti wa hadithi ifuatayo: mimi niko mbali na wale wameishi siku arubaini baina ya makafiri? Na nini hukmu ya Kiislamu kwa mtu anayeishi katika nchi ya kikafiri kwa ajili ya kazi, na ipi hukumu ya kisheria kwa mtu anayeishi katika nchi ya kikafiri kwa ajili ya kusoma?

Soma zaidi...

Jibu La Swali: Je, Riziki (Rizq) ni Kila Chenye Kuzawadiwa Kifedha?

Je, riziki inaishia kwenye pesa tu, ikimaanisha kila kitu kinachoweza kumilikiwa kwa sababu ya Kisheria? Au je, mali katika pesa, rasilimali inayohamishika au isiyohamishika ni sehemu tu ya rizq, na haijumuishi kuwa ndio rizq (riziki) pekee? Kwa mfano, je mke mwema ni rizq (riziki)? Na je, afya, mafanikio na kizazi chema ni miongoni mwa rizq (riziki) pia?

Soma zaidi...

Jibu la Swali: Mvutano kati ya Marekani na China juu ya Taiwan

Ni nini kinachosababisha mvutano kati ya Marekani na China kuhusu Taiwan? Je, nia gani zinazosababisha mvutano huu? Kwa nini Marekani iliichokoza China kwa ziara ya Spika wa Baraza la Wawakilishi na wajumbe wengine wa Congress nchini Taiwan? Ni nini umuhimu wa kisiwa hicho kwa China na Amerika? Je, mambo yanaelekea kwenye vita au kwa utulivu?

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu