Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Amali ya Umma “Moto mjini Gaza Hautazima, na Dhulma Haitakwisha!!
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika kukabiliana na mauaji ya kikatili yanayoendelea (mauaji ya halaiki) yaliyofanywa na umbile halifu la Kizayuni dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza kwa zaidi ya miaka miwili, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi, kujeruhiwa, na kutoweka kwa Waislamu zaidi ya 220,000 hadi sasa, Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa usomaji wa taarifa kwa vyombo vya habari katika miji kumi mikubwa chini ya kichwa: “Moto Hautazima Gaza, na Dhulma Haitakwisha!”



