Uokovu wa Ummah kutoka kwa Majanga yake na Kuhifadhi Hadhi yake kunaweza Kupatikana tu kwa Kufuata Njia ya Uislamu Kile ambacho Waislamu wanahitaji Leo ni Watawala Wenye Ikhlasi Wanaotafuta Kuwahudumia wao na Kuwaondoa katika Maafa
- Imepeperushwa katika Iraq
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ummah wa Kiislamu umepitia kumbukumbu ya maumivu; ni kumbukumbu ya kuvunjwa kwa serikali ya Kiislamu ambayo misingi yake imeanzishwa na Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) mjini Madina, kisha kuendelezwa na Waislamu, kizazi baada ya kizazi.