Kutoka kwa Ramisa hadi kwa Waathiriwa wa Epstein: Ulimwengu Unahitaji Mfumo wa Khilafah
- Imepeperushwa katika Bangladesh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ramisa Akter, mwenye umri wa miaka minane, ambaye alipenda shule na alikuwa na ndoto ambazo kamwe hakuna mtu atakayejua, aliingia chumbani kwa jirani na kubakwa na kukatwa kichwa. Alistahili kitu bora kuliko hashtag.



