Miaka Mia Moja Bila ya Khilafah: Hasara kwa Afrika na Ubinadamu
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Miaka Mia Moja Bila ya Khilafah: Hasara kwa Afrika na Ubinadamu
Miaka Mia Moja Bila ya Khilafah: Hasara kwa Afrika na Ubinadamu
Jamii za Garre na Murule kutoka Kaunti ya Mandera nchini Kenya zimekuwa zikipigana kwa miaka kuhusiana na mipaka, malisho na maji pamoja na rasilimali nyingine muhimu.
Bunge la Seneti la Amerika limemuidhinisha Antony Blinken, mteule wa Rais Joe Biden wa nafasi ya Waziri wa Kigeni Katibu.
Ripoti ya hivi karibuni ya Kikundi cha Utafiti cha Afghanistan (ASG), iliyo idhinishwa na Bunge la Congress la Amerika, inapendekeza utawala mpya wa Amerika kuongeza makataa ya vikosi vya Amerika kujiondoa Afghanistan,
Majadiliano kati ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Süleyman Soylu, na Waziri wa Haki, Abdulhamit Gül, yalitia muhuri kwenye ajenda ya kisiasa ya Uturuki.
Mnamo Januari 7, kampuni ya utangazaji ya televisheni ya Uzbek kwenye chaneli "Uzbekistan" ilipeperusha kipindi kinachoitwa "Uislamu - kiini na maelezo,"
Mgonjwa wa akili ambaye alikufa kwa njaa baada ya marupurupu yake kusimamishwa aliachwa na serikali katika hatari ya "kuumia baya", Mahakama Kuu imesikia.
Kumekuwa na mjadala unaoendelea nchini kuhusu utofauti mkubwa wa viwango vya mishahara kati ya wanasiasa na watumishi wa umma.
Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed alizima mitandao mnamo Jumatano, 4 Novemba 2020 wakati alipozindua mashambulizi katika eneo la kaskazini la Tigray.
Nchini Canada, wanawake wawili wa Kiislamu wamejadili shambulizi kali lililofanywa dhidi yao na wanaume wawili.