Alhamisi, 18 Ramadan 1445 | 2024/03/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Kuinusuru Gaza “Palestina ilipotea baada ya Kuvunjwa Khilafah, na Kurudi kwake itaregea kama Khilafah kwa Njia ya Utume”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa matembezi “Palestina ilipotea baada ya kuvunjwa Khilafah na kurudi kwake itaregea kama Khilafah kwa Njia ya Utume” baada ya Swala ya Ijumaa mbele ya Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Kuinusuru na Kuiombea Nusra Gaza

Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia, iliandaa matembezi ili kuyataka majeshi ya Waislamu yataharaki kuwanusuru Waislamu wanyonge katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wauwaji wahalifu.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu