Jumamosi, 18 Shawwal 1445 | 2024/04/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Majibu ya Habari

Mada: Hizb ut Tahrir ni Chama cha Kisiasa Kisichofanya Vitendo vya Kisilaha

Sio kwa Kumuogopa Yeyote, lakini kwa Kufuata Mfano wa Mtume (saw)

Tulipitia ripoti yenye kichwa: “Wahubiri, Watu Wenye Msimamo Mkali, na Makundi ya Kidini Watuma Barua za Vitisho kwa Balozi wa Marekani jijini Khartoum...

Soma zaidi...

Makundi ya Kiislamu Yanawezaje Kuunga Mkono Katiba ya Kisekula?!

Katika taarifa ya pamoja kutoka kwa Chama cha People’s Congress na Ansar al-Sunnah Muhammadiyah – Kituo Makuu, pande hizo mbili ziliunga mkono suluhu ya kisiasa kwa msingi wa kikatiba; iliyoanzishwa na kundi lililoandaliwa katika Baraza la Chama cha Mawakili, na walitoa wito kwa vikosi vyote vya kitaifa kuunga mkono suluhu hii.

Soma zaidi...

Hotuba ya Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan katika Mkutano na Waandishi wa Habari Kwa Jumuiya ya Ikhwan ul-Muslimin na Mashirika Yanayofanya Kazi katika Masuala ya Palestina

Suala la kuiregesha Palestina mikononi mwa Umma wa Kiislamu, na kuitakasa na najisi ya Mayahudi, ni suala la Waislamu wote. Sio suala la watu wa Palestina peke yao, kwani ufuska wa Mayahudi unataka iwe hivyo, na mbele yake wapo watawala wa Magharibi koloni ya Kikafiri, na nyuma yao wako watawala wa dola zenye madhara katika nchi za Waislamu.

Soma zaidi...

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Wakutana na Sheikh Al-Sajjadah Al-Qadiriyah Al-Arkia huko Taiba

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan kwa uongozi wa Ustadh Nasser Ridha, Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan, akifuatana na Ust. Abdullah Hussein, Mratibu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano, Abdul Qadir Abdul Rahman, mjumbe wa Kamati ya Mawasiliano, Al-Nazir Mukhtar, Shariq Yusef Al-Barbari, Ahmed Bahr, Rahmah Al-Mawla Hajj, na Adam Omar, wanachama wa Hizb ut Tahrir, walimtembelee Sheikh Al-Reeh Ibn Sheikh Abdullah katika ngome yake huko Taybeh Sheikh Abdul Baqi kisiwani, mnamo Jumatano, 21/9/2022.

Soma zaidi...

Kwa kuzingatia Udhalilifu wa Watawala wa Sudan, Balozi wa Marekani anakaimu kama Mtawala Mkuu wa Sudan

Balozi wa Marekani nchini Sudan, John Godfrey, mnamo Jumamosi tarehe 10/09/2022, alitembelea El Fasher katika jimbo la Darfur, na kufanya mkutano na serikali ya jimbo hilo, na kusema kuwa ziara yake imekuja kwa lengo la kufahamu hali ya mambo kwa ujumla Darfur, na kinachofuata ni utabikishaji wa Mkataba wa Amani wa Juba, pamoja na kubainisha masuala ya maendeleo na utulivu.

Soma zaidi...

Majibu kwa Vyombo vya Habari

Jibu la swali lako mwishoni mwa hotuba yako (neno mpendwa) katika safu yako ya usomaji (neno la heshima) katika Gazeti la Akhbar Al-Youm, lililochapishwa leo, Jumanne, Muharram 25, 1444 H, sawia na 08/23/2022 M, Toleo Na. 10770, ambapo ilikuja katika hotuba ya kupendeza zaidi:

Soma zaidi...

Mapendekezo ya Kongamano la Majadiliano ya Ombi la Watu wa Sudan Hayakutengana na Hazina ya Mfumo wa Kibepari wa Kidemokrasia

Kongamano la majadiliano ya pande zote ya kile kinachoitwa Wito wa Watu wa Sudan lilihitimisha kazi yake jana, Jumapili, kwenye Ukumbi wa Urafiki jiji Khartoum, na lilitoka na mapendekezo kadhaa, mengi yakiwa ni matakwa, na mazungumzo ya kujirudia ambayo hayakutengana na hazina ya mfumo wa kibepari wa kidemokrasia.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu