Wahamiaji Nchini Ugiriki Wamefichua Uhalisia Uliooza wa Utaifa
- Imepeperushwa katika Uingereza
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mipaka ya kizalendo ambayo inapigiwa debe na kulindwa na serikali za kirasilimali inapelekea mateso makubwa sana kwa watu.
Mipaka ya kizalendo ambayo inapigiwa debe na kulindwa na serikali za kirasilimali inapelekea mateso makubwa sana kwa watu.
Shule huru ya Kiislamuu inatafuta tathmini ya mahakama kuhusu kushindwa kwake katika kufaulu ukaguzi wa viwango vya ubora wa elimu kwa msingi kwamba katika maktaba yake kuna vipeperushi vyenye zaidi ya miaka 25 vikifafanua juu ya Kongamano la Khilafah lililo andaliwa na Hizb ut Tahrir nchini Uingereza mnamo 1994.