Ijumaa, 19 Ramadan 1445 | 2024/03/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Kisimamo cha Kupinga Mbele ya Baraza la Mawaziri jijini Khartoum

Kalima ya Ustadha Ghada Abdel-Jabbar

Msemaji Rasmi wa Kike wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Sudan

Wakati wa Kisimamo kwa Anwani

"Angusha Mikataba Yote ya Kimagharibi! Na ndio Kusimamishwa Khilafah Ambayo Inahami Familia na Watoto"

Ambacho kiliandaliwa mbele ya Baraza la Mawaziri ili kupinga uidhinishaji wa Serikali ya Mpito wa kanuni za "Mkataba wa Kiafrika juu ya Haki za Mtoto".

Ili kusoma barua ya wazi

Kutoka Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan hadi kwa Serikali ya Mpito

Jinsi gani uduni wenu umewafikisha kumfungulia mkoloni kafiri ngome ya mwisho ya Waislamu; Familia?!

Bonyeza Hapa

Ili kusoma taarifa ya kitengo cha wanawake

Kuhusu mafanikio ya kisimamo, kwa shukrani na fadhila za Mwenyezi Mungu

Bonyeza Hapa

Mkusanyiko wa Picha

Imebadilishwa mara ya mwisho mnamoJumatatu, 07 Disemba 2020 18:07

Media

https://s3.htcmo.com/htmedia/sudan/2020/11/wagfa_nisaa_gwaneen_Teffl01122020.mp4

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu