Alhamisi, 18 Ramadan 1445 | 2024/03/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Utangulizi wa Kumbukumbu ya 25 ya Kampeni ya Srebrenica:

 “Miaka 25 Baadaye: Mafunzo kutoka Srebrenica”

Mnamo 11 Julai, 1995, majeshi ya Serbia yalivamia eneo la Waislamu la Srebrenica nchini Bosnia ambapo maelfu ya Waislamu walikuwa wametafuta himaya kutokana na mashambulizi ya jeshi la Serbia kaskazini mashariki mwa Bosnia. Mji huo ulikuwa umetengwa na Umoja wa Mataifa (UN) kama "eneo salama" na kutangazwa kuwa chini ya ulinzi wa UN. Siku zilizo fuatia kutekwa kwa Srebrenica, wanaume na wavulana wa Kiislamu 8000 waliuwawa kinyama na Waserbia hao. Ilitangazwa kuwa ndio ukatili mbaya zaidi kufanyika katika nchi ya Ulaya tangu Vita vya Pili vya Dunia. Sambamba na mauwaji haya, wanawake, watoto na wazee kati ya 25,000 na 30,000 walifurushwa kutoka mjini humo kama sehemu ya kampeni ya kikatili ya Kiserbia ya mauwaji ya kimbari ya Waislamu kutoka katika ardhi zinazo pakana na Jamhuri ya Serbia. Waislamu wa Srebrenica waliahidiwa ulinzi na Umoja wa Mataifa lakini ulinzi huo kamwe haukuja. Waliahidiwa kwamba serikali za kimagharibi zingesitisha mashambulizi ya Waserbia kupitia NATO lakini usaidizi huo kamwe haukuwa.

Mauwaji haya ya halaiki yalikuwa ndio silsila ya ukatili uliofanywa na majeshi ya Serbia dhidi ya Waislamu wa Bosnia katika vita vya Bosnia huku serikali za kiulimwengu – za Waislamu na zisizokuwa za Waislamu – zikitazama.

Miaka kadhaa baada ya mauwaji ya halaiki ya Srebrenica, ulimwengu uliahidi, "Kamwe Haitatokea Tena" na kwamba mafunzo yatapatikana kutokana na doa hili jeusi katika historia ya sasa. Hata hivyo, leo tunaona chinja chinja na uhalifu wa vita vya Bosnia na mauwaji ya halaiki ya Srebrenica yakijirudia dhidi ya Waislamu katika ardhi ya India huku ulimwengu kwa mara nyengine tena unatazama. Mtume (SAW) amesema: «لاَ يُلْدَغُ الْمُؤْمِنُ مِنْ جُحْرٍ وَاحِدٍ مَرَّتَيْنِ» “Muumini hang'atwi katika tundu moja mara mbili.” Hivyo, ni yapi mafunzo halisi yanayo paswa kusomwa kutokana na janga hili la kibinadamu? Vipi kumbukumbu ya matukio haya ya kinyama yaliyo pita yatatusaidia kuunda upya mustakbali wetu kama Waislamu ili kunali usalama na haki? Vipi tutaweza kuvunja turathi hii ya mauwaji ya halaiki yaliyo usibu Ummah wetu… ili historia isiendelee kujirudia?

Kampeni hii imezinduliwa na Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir kinacho tarajia kuzungumzia kadhia hizi.

Dkt. Nazreen Nawaz

Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Jumatatu, 15 Dhu al-Qi'dah 1441 H sawia na 6 Julai 2020 M

Fuatilia Kampeni kwa Lugha Nyenginezo

Taarifa kwa Vyombo kutoka kwa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Uzinduzi wa Kampeni ya Kumbukumbu ya Mauwaji ya Halaiki ya Srebrenica:
“Miaka 25 Baadaye: Mafunzo kutoka Srebrenica”

Jumatatu, 15 Dhu al-Qi'dah 1441 H Sawia na 6 Julai 2020 M

Bonyeza Hapa

Alama Ishara za Kampeni

#Srebrenica25YearsOn fb tw instagram
#سربرنيتشا_جرح_لم_يندمل fb tw  instagram
#Srebrenitsa25Yıl fb tw  instagram
 

Video Fupi ya Kampeni

 

 

Ili Kupakua Kipeperushi kwa umbo la PDF

Bonyeza Hapa

Makala

Miaka 25 ya Kumbukumbu Chungu: Msukumo wa Kutochoka katika Ulinganizi wa Kurudisha tena Khilafah Ngao na Mlinzi wetu wa Ukweli na SIO Umoja wa Mataifa

Ali Nassoro Ali
Mwanachama wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

27 Dhu al-Qi'dah 1441 H - 18 Julai 2020 M

Haki na Ulinzi kwa Waislamu Yatapatikana Pekee Chini ya Khilafah

Vidonda vya Waislamu Vitapona Pekee kwa Kurudi Khilafah

Zeinah As-Samit

Khilafah Imeundwa Kudumisha Haki kwa Ukamilifu na Kutoa Ulinzi wa Kweli kwa Walimwengu

Amanah Abed

Maafisa wa Jeshi WachaMungu Hupenda Jihad, Wakitafuta Shahada au Ushindi kwa Ajili ya Radhi za Mwenyezi Mungu (swt)

Musab Umair – Pakistan

Miaka 25 ya kidonda cha Srebrenica ambacho kingali hakijapona

Na: Bilal Al-Muhajer – Pakistan

Srebrenica Miaka 25 Baadaye... Lini Tutakoma Kusema 'Kamwe Haitatokea Tena' kwa Mauwaji ya Halaiki Dhidi ya Ummah Wetu?

Dkt. Nazreen Nawaz
Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

H -

“Na wale waliokufuru ni marafiki wenyewe kwa wenyewe.”
Vita vya Bosnia ni Mfano

Bara’ah Manasrah

Kubadilisha Uovu Mmoja kwa Mwingine:
Umoja wa Mataifa Kamwe Hautawalinda Waislamu

Fatima Musab
Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir

H -

Ugumba wa Kuweka Uaminifu Wetu kwa Umoja wa Mataifa

Yasmin Malik
Mwanachama wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

-

Srebrenica na Mustakbali wa Waislamu Barani Ulaya

Okay Pala

Mafunzo kutoka kwa Maafa ya Vita vya Bosnia

Tsuroyya Amal Yasna
Mwanachama wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

20 Dhul Qiddah 1441 H - 11 July 2020 M

Utaifa Ndio Msukumo wa Mgawanyiko wa Umwagikaji Damu katika Ardhi za Waislamu

Dkt. Fika Komara

Mwanachama wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

19 Dhul Qiddah 1441 H - 10 Julai 2020 M

Mafunzo Kutoka Historia ya Balkan: Uislamu Huleta Amani na Usalama – Utaifa Huleta Mauwaji na Uharibifu

Zehra Malik

Mwanachama wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

16 Dhul Qiddah 1441 H - 07 Julai 2020 M

Imebadilishwa mara ya mwisho mnamoJumatatu, 27 Julai 2020 22:27

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu