Mwaliko wa Kuhudhuria Kikao cha Kisiasa
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan inafurahi kuwaalika wataalamu wa vyombo vya habari, wanasiasa, na wote wanaopenda masuala ya umma kuhudhuria na kushiriki katika kikao kipya cha Kisiasa, ambapo mgeni atakuwa ni Ustadh Ibrahim Othman (Abu Khalil) – Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan – chenye kichwa: Kwa Mnasaba Kumbukumbu ya Kuvunjwa kwa Khilafah (Ukhalifa): Kusimamishwa kwake tena ni Faradhi ya Sharia



