Ijumaa, 10 Shawwal 1445 | 2024/04/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mauaji ya Kuogofya ya Familia Moja ya Kiislamu jijini Ontario, Canada, Mizizi Yake ni Hofu ya Uislamu Isababishwayo na Hotuba za Kisiasa na Sera za Kisekula za Dola za Kimagharibi

Mnamo Siku ya Jumapili tarehe 6 Juni, familia moja ya Kiislamu jijini London, Ontario, Canada iliuawa katika shambulizi la kuogofya la kigaidi na dereva ambaye aliwakanyaga kwa makusudi ndani ya lori,

Soma zaidi...

Enyi Majeshi ya Waislamu! Uhangaishwaji wa Watoto wa Kipalestina na Umbile la Kiyahudi Hautakoma Isipokuwa kwa Kwenda Kwenu Kuung'oa Uvamizi Huu Katili kwa Mizizi Yake!

Kulingana na wanaharakati na mawakili wa Palestina, umbile vamizi la Kiyahudi limeimarisha ulengaji wao wa watoto wa Kipalestina kwa ajili ya kuwakamata kwa wiki chache zilizopita kama sehemu ya "Operesheni Sheria na Utangamano", ambao wengi wao wamepigwa kinyama na kuteswa kisaikolojia.

Soma zaidi...

Miaka 100 ya Kiza, Utovu wa Heshima na Kukata Tamaa kwa Mwanamke wa Kiislamu kwa Kukosekana kwa Ngao na Mlinzi wake – Khilafah

Rajab hii inaashiria hatua nyingine mbaya katika historia ya Umma wa Kiislamu - miaka 100 katika kalenda ya Hijria tangu kuvunjwa kwa dola yake tukufu na uongozi wa Kiislamu: Khilafah mikononi mwa adui wa Uislamu, Mustafa Kemal, na serikali za kikoloni za Kimagharibi.

Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir cha Zindua Kampeni ya Kimataifa kwa Anwani: "Waislamu wa Sri Lanka Wananyanyaswa, Wafu na Walio Hai!"

Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir yatangaza kuzinduliwa kwa kampeni ya kimataifa ya kunyanyua uelewa wa ulimwengu juu ya dhulma kubwa na unyanyasaji unaowakabili Waislamu nchini Sri Lanka,

Soma zaidi...

Ulinzi Halisi kwa Mwanawake Uko katika Nidhamu ya Kisiasa Inayomrudishia Dori yake Muhimu katika Ujenzi wa Vizazi vya Ummah

Wavuti wa Kiarabu ya BBC, chini ya kichwa "Unyanyasaji: siri iliyofichuliwa katika maisha ya waandishi wa habari wa kike wa Kiarabu," uliwasilisha hali tatu mbaya kwa waandishi wa habari wa kike kutoka nchi tofauti za Kiarabu, ambao walizipitia wakati wakiendelea na kazi zao.

Soma zaidi...

Wazimu wa Wanasiasa wa Kifaransa kwa Hijab Unajumuisha Hofu ya Uislamu na Kasumba ya Usekula

Siku ya Alhamisi Septemba 17, wabunge wa Ufaransa kwa mara nyengine tena waliweka wazi ubaguzi wa rangi, dhidi ya Uislamu, wa serikali ya kisekula uliokithiri nchini Ufaransa kwa upande wa kutoka bila sababu katika kikao cha uchunguzi kilichofanyika katika Bunge la Ufaransa,

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu