Jumatano, 20 Jumada al-thani 1447 | 2025/12/10
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Shambulizi la Muafghani jijini Washington na Maeneo Yaliyofichwa ya Siasa

Shambulizi la Muafghani jijini Washington na Maeneo Yaliyofichwa ya Siasa

Jumanne, 18 Jumada II 1447 - 09 Disemba 2025

Shambulizi la silaha jijini Washington, D.C. wiki moja iliyopita—ambapo Rahmanullah Lakanwal, raia wa Afghanistan, anatuhumiwa kuwafyatulia risasi Walinzi wawili wa Kitaifa wa Marekani—lilitokea karibu na kituo cha Metro cha Farragut Magharibi, mita mia chache tu kutoka Ikulu ya White House, eneo ambalo kwa kawaida linalindwa na baadhi ya tabaka kali zaidi za usalama. Kutokana na ufyatuaji risasi huo, Sarah Bäckström, mlinzi wa Kitaifa wa miaka 20, aliuawa na Andrew Wolf alijeruhiwa vibaya.

Afisi ya Habari

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi Marwan Al-Khatib (Abu Muhammad)

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi Marwan Al-Khatib (Abu Muhammad)

Ijumaa, 12 Jumada II 1447 - 05 Disemba 2025

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon inamuomboleza: Mwanachuoni mtukufu, khatib, sheikh, mwandishi, na mshairi, Marwan al-Khatib (Abu Muhammad) ...

Kukamatwa Kupya kwa Wanachama wa Hizb ut Tahrir nchini Yemen na Mahouthi Je, kauli mbiu “Kifo kwa Amerika” inawezaje kuishi sambamba na Kutetea Mpango wa Trump kuhusu Gaza?!

Kukamatwa Kupya kwa Wanachama wa Hizb ut Tahrir nchini Yemen na Mahouthi Je, kauli mbiu “Kifo kwa Amerika” inawezaje kuishi sambamba na Kutetea Mpango wa Trump kuhusu Gaza?!

Jumatatu, 10 Jumada II 1447 - 01 Disemba 2025

Mnamo Alhamisi, 27/11/2025, vikosi vya usalama vya Mahouthi vilimkamata Saddam Ali Qa’id al-Mukirdi, mwenye umri wa miaka 28, kutoka wilaya ya Ṣabr al-Mawadim katika Mkoa wa Taiz ulio chini ya udhibit...

Matoleo

Sera ya Elimu Baina ya Kufeli kwa Dola ya Kisasa na Ruwaza ya Khilafah Rashida

Sera ya Elimu Baina ya Kufeli kwa Dola ya Kisasa na Ruwaza ya Khilafah Rashida

Jumatano, 20 Rabi' II 1447 - 12 Novemba 2025

Sera ya elimu nchini Tunisia, kama moja ya nguzo za dola ya kisasa, imefeli, na mageuzi yanayorudiwa rudiwa hayajafanikiwa. Watoto wetu wamekuwa chini kabisa katika orodha ya kimataifa, na shule na vy...

Habari za Dawah

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Kongamano la Antalya: “Usuli wa Amani na Mustakabali wa Gaza”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Kongamano la Antalya: “Usuli wa Amani na Mustakabali wa Gaza”

Jumapili, 2 Jumada II 1447 - 23 Novemba 2025

Katika kukabiliana na mauaji ya kikatili yanayoendelea (mauaji ya halaiki) yanayofanywa na umbile halifu la Kizayuni dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza kwa zaidi ya miaka miwili, ...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Jukwaa la Mazungumzo: “Ni Wakati sasa wa Kituo cha Kisiasa Kujikomboa kutokana na Utegemezi wa Wakoloni wa Magharibi”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Jukwaa la Mazungumzo: “Ni Wakati sasa wa Kituo cha Kisiasa Kujikomboa kutokana na Utegemezi wa Wakoloni wa Magharibi”

Jumapili, 2 Jumada II 1447 - 23 Novemba 2025

Kamati ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Tunisia iliandaa jukwaa la mazungumzo lenye kichwa “Ni Wakati sasa wa Kituo cha Kisiasa Kujikomboa kutokana na Utegemezi wa Wakoloni wa Maghar...

Jibu la Swali: China na Ukombozi Wake Kutoka kwa Mtazamo Wake Mdogo wa Kikanda

Jibu la Swali: China na Ukombozi Wake Kutoka kwa Mtazamo Wake Mdogo wa Kikanda

Jumamosi, 1 Jumada II 1447 - 22 Novemba 2025

 “China inamiliki hisia ya nguvu na mapambano, na kama lengo la China halikufungika tu na kudumisha eneo lake, na kukubali kukabiliana na Amerika kama jibu tu kwa harakati za Amerika kuelekea ene...

Jibu la Swali: Ruwaza ya Marekani ya Kutatua Kadhia ya Cyprus

Jibu la Swali: Ruwaza ya Marekani ya Kutatua Kadhia ya Cyprus

Jumatano, 21 Jumada I 1447 - 12 Novemba 2025

“Afisi ya rais wa Uturuki ilitangaza mnamo Jumatatu kwamba Rais wa Jamhuri ya Uturuki ya Cyprus Kaskazini, Tufan Erhürman, atatembelea Ankara Alhamisi ijayo, 13/11/2025... Burhanettin Duran, mkuu wa i...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu