Pongezi kutoka kwa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa,…
Jumatano, 1 Ramadan 1447 - 18 Februari 2026
Enyi Waislamu, nawakumbusha haya yote katika siku hizi ambapo uvamizi wa kikatili wa Mayahudi dhidi ya Ukingo wa Magharibi pamoja na Gaza unaendelea, kisha uvamizi wa Mayahudi ukaenea hadi Lebanon na Syria… ambapo waliranda wakiwa huru katika nchi za Kiislamu bila kukutana na upinzani wowote wa kweli. Badala ya watawala kuhamasisha majeshi ya Waislamu kupigana na umbile la Kiyahudi, kuwafukuza wale walio nyuma yake na kuikomboa Ardhi Iliyobarikiwa... badala yake, tunawaona watawala hawa wakisaini makubaliano baada ya makubaliano nalo, na hata mtawala dhalimu Trump anawakusanya pamoja ili kuwadhalilisha, bila aibu yoyote mbele ya Mwenyezi Mungu, Mtume Wake, au waumini!
Tangazo la Matokeo ya Kuutafuta Mwezi Mwandamo wa Ramadhan Iliyobarikiwa…
Ramadhan inakuja mwaka huu huku Ummah ukisimama kwenye njia panda mpya; kwa upande mmoja unageuka…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kalima ya…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kalima ya Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 586
Vichwa Vikuu vya Toleo 586
Jibu la Swali: Habari za Zama za Mwisho na Kushuka…
Ni lazima ieleweke kwamba taarifa zilizomo katika maandiko ya Kiislamu, iwe kuhusu matukio ya zamani…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Gaza inawahesabu Mashahidi wake,…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Gaza inawahesabu Mashahidi wake, ambao Wametolewa Kafara kwa ajili…




