Alhamisi, 02 Ramadan 1447 | 2026/02/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Pongezi kutoka kwa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah, kwa Wanaozuru Kurasa zake kwa Mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan wa Mwaka 1447 H sawia na 2026 M

Pongezi kutoka kwa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa,…

Jumatano, 1 Ramadan 1447 - 18 Februari 2026

Enyi Waislamu, nawakumbusha haya yote katika siku hizi ambapo uvamizi wa kikatili wa Mayahudi dhidi ya Ukingo wa Magharibi pamoja na Gaza unaendelea, kisha uvamizi wa Mayahudi ukaenea hadi Lebanon na Syria… ambapo waliranda wakiwa huru katika nchi za Kiislamu bila kukutana na upinzani wowote wa kweli. Badala ya watawala kuhamasisha majeshi ya Waislamu kupigana na umbile la Kiyahudi, kuwafukuza wale walio nyuma yake na kuikomboa Ardhi Iliyobarikiwa... badala yake, tunawaona watawala hawa wakisaini makubaliano baada ya makubaliano nalo, na hata mtawala dhalimu Trump anawakusanya pamoja ili kuwadhalilisha, bila aibu yoyote mbele ya Mwenyezi Mungu, Mtume Wake, au waumini!

Afisi ya Habari

Tangazo la Matokeo ya Kuutafuta Mwezi Mwandamo wa Ramadhan Iliyobarikiwa ya Mwaka 1447 H

Tangazo la Matokeo ya Kuutafuta Mwezi Mwandamo wa Ramadhan Iliyobarikiwa ya Mwaka 1447 H

Jumanne, 29 Sha'aban 1447 - 17 Februari 2026

Ramadhan inakuja mwaka huu huku Ummah ukisimama kwenye njia panda mpya; kwa upande mmoja unageuka kwenye makaa ya hali ya ukoloni na miiba ya usaliti wa watawala, na kwa upande mwingine hali mpya zina...

Kuikaribisha Ziara ya Modi: Khiyana ya Wazi kwa Damu na Heshima ya Umma wa Kiislamu

Kuikaribisha Ziara ya Modi: Khiyana ya Wazi kwa Damu na Heshima ya Umma wa Kiislamu

Alhamisi, 17 Sha'aban 1447 - 05 Februari 2026

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi amepangwa kufanya ziara ya kikazi nchini Malaysia mnamo Februari 7-8, 2026, na inaripotiwa kwamba anatarajiwa kupokea mapokezi makubwa kutoka kwa serikali na jamii y...

Matoleo

Hofu Halisi ya Magharibi: Ulimwengu wa Kiislamu Ulioungana

Hofu Halisi ya Magharibi: Ulimwengu wa Kiislamu Ulioungana

Jumapili, 1 Rajab 1447 - 21 Disemba 2025

Katika mahojiano ya hivi karibuni ya Fox News na Sean Hannity, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio alifufua usemi maarufu wa “Uislamu wenye msimamo mkali,” Khilafah inayopanuka, na vitisho ...

Enyi Waislamu: Kufunga Vyumba vya Ibada ni Shambulizi kwa Uislamu na Lazima Kukabiliwe kwa Upinzani Mkali, wa Pamoja wa Kisiasa

Enyi Waislamu: Kufunga Vyumba vya Ibada ni Shambulizi kwa Uislamu na Lazima Kukabiliwe kwa Upinzani Mkali, wa Pamoja wa Kisiasa

Jumapili, 16 Jumada II 1447 - 07 Disemba 2025

Baada ya mwelekeo hasi wa kisiasa kwenye vyumba vya ibada, idara ya Chuo Kikuu cha Copenhagen iliamua mwishoni mwa Novemba kufunga kile kinachoitwa “vyumba vya utulivu,” ambavyo Waislamu walikuwa waki...

Habari za Dawah

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kalima ya Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Mwezi wa Ramadhan Uliobarikiwa 1447 H

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kalima ya Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Mwezi wa Ramadhan Uliobarikiwa 1447 H

Jumanne, 1 Ramadan 1447 - 17 Februari 2026

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kalima ya Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Mwezi wa Ramadhan Uliobarikiwa 1447 H ...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Gaza inawahesabu Mashahidi wake, ambao Wametolewa Kafara kwa ajili ya Trump na Netanyahu!

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Gaza inawahesabu Mashahidi wake, ambao Wametolewa Kafara kwa ajili ya Trump na Netanyahu!

Jumatatu, 14 Sha'aban 1447 - 02 Februari 2026

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Gaza inawahesabu Mashahidi wake, ambao Wametolewa Kafara kwa ajili ya Trump na Netanyahu! ...

Kuikaribisha Ziara ya Modi: Khiyana ya Wazi kwa Damu na Heshima ya Umma wa Kiislamu

Kuikaribisha Ziara ya Modi: Khiyana ya Wazi kwa Damu na Heshima ya Umma wa Kiislamu

Alhamisi, 17 Sha'aban 1447 - 05 Februari 2026

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi amepangwa kufanya ziara ya kikazi nchini Malaysia mnamo Februari 7-8, 2026, na inaripotiwa kwamba anatarajiwa kupokea mapokezi makubwa kutoka kwa serikali na jamii y...

Jibu la Swali: Hati ya Mkakati wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani

Jibu la Swali: Hati ya Mkakati wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani

Jumatano, 25 Rajab 1447 - 14 Januari 2026

Mnamo tarehe 5/12/2025, Trump alitangaza kwa umma hati mpya ya Mkakati wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani yenye kurasa 33. Kuna tofauti gani kati ya hati hii na zile zilizotangulia, kama vile mkakati w...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu