Fi’l ul-Amr (Kitenzi cha Kuamrisha)
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kimfumo
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kaka yangu mpendwa, Mwenyezi Mungu akuhifadhi na akulinde, na akusaidie pamoja na waumini wenye nguvu na ikhlasi, na Mwenyezi Mungu akusaidie katika jukumu lako zito, na atujumuishe karibuni mikono yetu iushike mkono wako, kutoa ahadi ya utiifu kuwa tutasikiza na kutii kila lenye kutufurahisha na kutuchukiza.



