Bei za Mafuta, Ziara ya Erdogan Nchini Uingereza, Uchaguzi wa Malaysia, Armenia
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kisiasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
La kwanza: Swali: Bei za mafuta zimeongezeka mnamo 24/5/2018 kwa tarakimu za juu, huku bei ya mafuta ambayo hayajasafishwa aina ya Brent ikifikia dolari 79 kwa pipa, na mafuta ambayo hayajasafishwa ya Texas ikifikia dolari 71 kwa pipa.