Jumapili, 27 Jumada al-awwal 1445 | 2023/12/10
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

“Na tumekuteremshieni Nuru iliyo wazi.” [An-Nisa 174]

Alama Ishara "#QuranBookClub," imepata umakinifu mkubwa katika Tiktok na maoni milioni 1.9. Ibara hii inayotamba katika Tiktok iliibuka miongoni mwa Waamerika wachanga ambao wanashangazwa na uvumilivu wa watu wa Palestina na wanaigeukia Quran kujaribu kuelewa vizuri zaidi yale yanayotokea huko Gaza na kuonyesha mshikamano na Waislamu wa Palestina.

Soma zaidi...

Chagua Baina ya Udhaifu na Matumaini

Waislamu wako zaidi ya bilioni mbili duniani. Kwa kuongezea, watafiti wengi wanaasharia kwamba Waislamu watawashinda kiidadi Wakristo kufikia mwaka 2050. [World Population Review, 2023]. Ardhi za Waislamu zimejaa rasilimali tele kama vile asilimia 70 ya mafuta, asilimia 50 ya gesi na rasilimali asili nyingine kando na kuwa rasilimali ya watu wengi. Hata hivyo, suali linalotia kizungumkuti ni kwa nini Waislamu wanataabika duniani kote licha ya kuwa na uwezo huo?

Soma zaidi...

Jinsi ya Kujadili Mzozo wa Palestina Unaoendelea pamoja na Watoto Wako (na kila mtu mwengine)

1. Wazazi wanapaswa kuanzisha majadiliano yote kwa kutumia taswira ifuatayo ili kuwafanya watoto wao waelewe mzozo huu: Unaishi kwa amani ndani ya nyumba yako na ghafla siku moja, miaka 75 iliyopita, watu wengine wanaingia kwa nguvu, wanachukua nusu ya nyumba yako, kuwafukuza Nusu ya familia yako, kuwaweka nusu waliobakia chini kizuizi cha kinyumbani katika nusu iliyobaki ya nyumba.

Soma zaidi...

Ummah Unakua Kiidadi, na Haja ya Khilafah Kusimamisha Dini ni Kadhia Nyeti

Nimegundua ongezeko la video fupi zikisambazwa kwenye mitandao ya kijamii, za watu wakitamka Shahada na kuwa Waislamu. Hilo lilinivutia. Liliniweka kwenye safari ya utafiti ili kujua ni watu wangapi, haswa katika ulimwengu wa Magharibi, wanaokuwa Waislamu. Ni vigumu kukusanya takwimu halisi, lakini Ramadhan 2023 ilishuhudia kusilimu kwa watu mashuhuri.

Soma zaidi...

Sa’ad bin Muadh, Mkuu wa Ansar (ra)… Ni nani Sa’ad wa Ummah Huu hivi leo?!

Kuwataja watu wakubwa wa historia ya Uislamu, sio kama kutaja habari za kale zozote za “mashujaa” wa kihistoria. Tafauti baina ya historia ya Waislamu watukufu na “mashujaa” wa historia ni kuwa usomaji wa habari za Waislamu watukufu ni kwa sababu ya kufuata mifano yao. Tunafuata nyayo zao, na kuchukua mafunzo kutoka kwenye matendo yao ya kishujaa.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu