Hizb ut Tahrir/ Uingereza: Gaza Inaita! Lini Nusra Itakuja?
- Imepeperushwa katika Uingereza
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir/ Uingereza: Gaza Inaita! Lini Nusra Itakuja?
Hizb ut Tahrir/ Uingereza: Gaza Inaita! Lini Nusra Itakuja?
Hizb ut Tahrir / Uingereza imetuma wajumbe kwenye afisi ya ubalozi za nchi kadhaa za Kiislamu jijini London wasilimisha mpango unaojumuisha nukta 10 za kufanyiwa kazi kuhusiana na mauaji ya halaiki ambayo yanafichuka huko Gaza.
Hizb ut Tahrir / Uingereza ilifanya maandamano nje ya ubalozi wa Misri na Uturuki jijini London leo (21 Oktoba 2023).
Bango letu la kuu linafanya mukhtasari ni nini maandamano haya yanahusu - "Majeshi ya Waislamu! Waokoeni watu wa Palestina”.
Maandamano ya Kuwanusuru na Kuwaombea Nusra Waislamu nchini Palestina!
Hizb ut Tahrir / Uingereza: Saudi - Yanunua Kabumbu, Yauza Uislamu?
Hizb ut Tahrir Uingereza iliandaa kongamano la Khilafah la kila mwaka kwa kichwa: “Je, Kweli Unamfahamu Mtume Muhammad, Rehma na Amani ziwe Juu Yake?”
Je, kuna umuhimu gani wa uchaguzi wa rais nchini Uturuki kwa Waislamu ndani na nje ya nchi hiyo? Na ni matokeo gani yanayowezekana kutokea kufuatia uchaguzi wa Erdoğan au Kılıçdaroğlu?
Tangazo la dharura la Hizb ut Tahrir/Uingereza kuhusu shambulizi la kikatili la kinyama lililotekelezwa na umbile nyakuzi la Kiyahudi kwa waumini mu'takifina katika Msikiti uliobarikiwa wa Al Aqsa.
Waingereza walidai kuwa mataifa mawili yaliishi nchini India, Waislamu na Mabaniani. Walidai kwamba hawakuweza kuishi kama taifa moja ndani ya dola moja. Kujibu hili, wazo la Pakistan liliibuka ili kuigawanya India katika dola mbili.
Kumtukana Mtume (ﷺ) kamwe hakuwezi kuwa na mjadala kwa Waislamu kote duniani na “Uhuru wa Kuzungumza” si lolote ila ni kwa manufaa ya kisiasa tu.