Uislamu ni Rehma na Njia ya Uokozi kwa Binadamu Kutokana na Moto wa Ubepari na Maovu Yake
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ujumbe huu ni kuwatoa watu kutoka gizani hadi kwenye nuru, kuleta mabadiliko katika maisha ya wanadamu na kuwapa suluhisho na tiba ya matatizo yanayowakabili, na kuyafanikisha, kupitia hukmu za Uislamu na sheria zake, haki na usalama na maisha yenye staha.



