Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Yatoa Hotuba ya Hadhara eneo la Nile Mashariki, Khartoum
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kama sehemu ya kampeni yake ya kutibua mpango wa kuigawanya Sudan kwa kutenganisha Darfur, Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan ilitoa hotuba ya hadhara mnamo Jumamosi, tarehe 4 Oktoba 2025, katika Soko la 6 la Al-Wahda katika mtaa wa Nile Mashariki, Khartoum.