Jumanne, 09 Ramadan 1445 | 2024/03/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Serikali ya Kihalifu jijini Damascus Inaporomoka na Inahitaji Juhudi ya Dhati Kuipindua

Haifichiki tena machoni mwa waangalizi kwamba hali katika maeneo yaliyo chini ya usimamizi wa serikali ya kihalifu jijini Damascus imefikia kiwango kisichoweza kuvumilika. Mambo msingi ya maisha yamepotea, na kutoa njia kwa umaskini, njaa, na kutawala kwa wanamgambo wa mauaji, uporaji, na uhalifu, pamoja na vifaa vya ukandamizaji na mauaji.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu