Mashini ya Pesa - “Qu’ils mangent de la brioche”
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
BP imeripoti faida yake kubwa zaidi ya robo mwaka kwa miaka 14 baada ya bei ya mafuta na gesi kupanda.
BP imeripoti faida yake kubwa zaidi ya robo mwaka kwa miaka 14 baada ya bei ya mafuta na gesi kupanda.
Mnamo tarehe 27 Julai 2022, Hadi Abuatelah mwenye umri wa miaka 17 alipigwa kikatili na maafisa watatu wa polisi wa Oak Lawn huko Illinois.
Majeshi ya Misri, Jordan, Hijaz na Uturuki yanawatazama Mayahudi wakiupiga mabomu Ukanda wa Gaza, lakini hawahamasiki, kana kwamba jambo hilo haliwahusu!
NRC Handelsblad ilichapisha makala mnamo tarehe 2 Agosti 2022 ambapo walifichua kwamba benki za Uholanzi zilizuia pasi na haki akaunti za benki za mashirika ya Kiislamu kwa miezi kadhaa.
Ni furaha kwetu sisi katika Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan kuwaalika ndugu zetu katika vyombo vya habari, wanasiasa,
Baada ya kutumilizwa bwana wetu Muhammad, Mwenyezi Mungu rehema na amani zimshukie, je wale waliobakia katika dini ya Kiyahudi au Kikristo watahesabiwa miongoni mwa watu wa Peponi?
Bangladesh yakabiliwa na miaka mingine mitatu ya kukatwa kwa umeme huku taifa hilo linaloendelea likitatizika kupata mahitaji ya muda mrefu ya gesi asilia na bei yake iko nje ya soko la hapo kwa hapo.
Wanaharakati wa Syria walisambaza kwenye mitandao ya kijamii na vituo vya habari picha zinazoonyesha watu wakifanya matambiko ya kidini ya kiajabu katika Msikiti wa Umayyad jijini Damascus,
Rais Erdoğan anakwenda Sochi mnamo Agosti 5 kukutana na kiongozi wa Urusi Putin. Erdoğan na Putin watajadili ukanda wa nafaka, vita vya Ukraine na Urusi, uwezekano wa operesheni ya Uturuki Syria na Kiwanda cha Nyuklia cha Akkuyu.
Namuomba Mwenyezi Mungu (swt) kwamba al-Zawahiri awe miongoni mwa wale ambao Mwenyezi Mungu (swt) anawahuisha pamoja Naye, akiwaruzuku wote, na kwamba Mwenyezi Mungu (swt) amjaalie daraja za juu kabisa za Pepo na starehe, kama ambavyo Yeye (swt) amruzuku shufaa kwa familia yake.