Kyrgyzstan Yakoleza Vita vyake dhidi ya Uislamu chini ya Kisingizio cha “Misimamo Mikali”
- Imepeperushwa katika Kyrgyzstan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo 2021, katiba mpya ilipitishwa nchini Kyrgyzstan. Tangu wakati huo, juhudi zimefanywa kuoanisha sheria na katiba mpya.