Mpeni Raj Mkoloni Amerika Inayoporomoka Msukumo wa Mwisho kwa Kuziunganisha Pakistan, Afghanistan na Asia ya Kati kama Dola Moja ya Kiislamu ya Khilafah
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Leo, 7 Muharram 1443 H, 15 Agosti 2021, Waislamu walilipuka kwa furaha wakati mujahidina wa Afghanistan waliingia Kabul, huku Amerika ikiondoka kwa haraka na kibaraka wa Magharibi Ashraf Ghani akikimbia. Kwa hivyo,