Je, Kweli Imran Khan Anajumuisha Harakati Halali ya Kujitolea Muhanga na Yenye Matunda?!
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Serikali ya Pakistan imempiga marufuku Waziri Mkuu aliyeng’atuliwa mamlakani, Imran Khan, kufanya mkutano mkubwa, uliopangwa kufanyika jijini Islamabad na kuwasaka wafuasi wake katika uvamizi kote nchini, ikiwakamata mamia.