Uchomaji Quran ni Kielelezo cha Sera ya miaka Mingi dhidi ya Uislamu
- Imepeperushwa katika Uholanzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kiongozi wa kundi linalopinga Uislamu la Pegida alirarua, akakanyaga na kuchoma moto Quran Tukufu wakati wa maandamano nje ya bunge la Uholanzi.