Jumanne, 14 Dhu al-Hijjah 1446 | 2025/06/10
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Denmark: Kisimamo jijini Copenhagen cha Kuinusuru Gaza yenye Izza!

Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa zaidi ya miezi 19, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa wanaume na wanawake wa Kiislamu zaidi ya elfu 185 hadi sasa, Hizb ut Tahrir/Denmark iliandaa kisimamo jijini Copenhagen cha kuwanusuru watu wetu mjini Gaza, na Palestina yote inayokaliwa kwa mabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Denmark: Kongamano la Khilafah 2024 “Miaka Mia bila ya Khilafah!”

Kwa mnasaba wa miaka 100 M (103 H) ya mkoloni kafiri, kwa msaada wa makhaini wa Kiarabu na Kituruki, kuivunja Dola ya Uislamu (Khilafah Uthmani) na kuondolewa kwa mfumo wa utawala katika Uislamu (Khilafah) kutoka kwa maisha ya Umma wa Kiislamu, Hizb ut Tahrir / Denmark inaandaa Kongamano la kila mwaka la Khilafah.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Denmark: Kongamano “Palestina Yalilia Ukombozi!”

Kwa kuzingatia matendo ya kishujaa yaliyofanywa na Mujahidina mashujaa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) chini ya kauli mbiu ya (Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile nyakuzi la Kiyahudi  ambalo liliendelea na mashambulizi yake dhidi ya Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na uzingiraji na upigaji mabomu wa kuendelea wa Ukanda wa Gaza kwa miaka 17

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu