Mwaliko wa Kuhudhuria Kikao cha Kisiasa
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan inafuraha kuwaalika ndugu wanahabari, wanasiasa, na wale wanaopenda masuala ya umma kuhudhuria kikao kipya cha Kisiasa, kinachomshirikisha Ustadh Yaqoub Ibrahim, mwanachama wa Hizb ut Tahrir, chenye kichwa: Dori ya Mashirika ya Kikanda katika Siasa za Sudan.



