Hizb ut Tahrir / Wilayah Jordan: Semina ya Kisiasa “Suluhisho Msingi na Kadhia Nyeti ya Umma”
- Imepeperushwa katika Jordan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa Khilafah, Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Jordan yatoa heshima ya kukualikeni kwenye semina ya kisiasa ya kidijitali yenye kichwa: “Suluhisho Msingi na Kadhia Nyeti ya Umma”



