Jumamosi, 15 Safar 1447 | 2025/08/09
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake “Kampeni ya Kimataifa - Vita vya Sudan: Hadithi ya Ukoloni, Usaliti na Udanganyifu”

Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Kimezindua kampeni ya kimataifa kuangazia maafa yanayozidi kuwa mabaya ya kibinadamu yanayowakabili Waislamu wa Sudan. Kampeni hii pia itashughulikia: siasa na ajenda zilizofichwa nyuma ya mzozo huu.

Soma zaidi...

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake: “Enyi Mujahidina wa Ash-Sham! Wacha iwe kwa Ajili ya Mwenyezi Mungu!

Video hii pia inazungumzia jinsi ushindi na mafanikio ya kweli kwa nchi ya Syria na kwengineko yanaweza kupatikana tu kupitia kuziondolea ardhi zetu mabaki yote ya uingiliaji kati na utawala wa wakoloni - ikiwemo vipengele vyote vya mfumo wao wa kisiasa na imani, na kuikumbatia ruwaza ya kweli ya Kiislamu iliyo huru. Hili linaweza kupatikana tu kwa kutekeleza Sheria na Mfumo wa Mwenyezi Mungu (swt) kwa ukamilifu chini ya kivuli cha Khilafah kwa njia ya Utume.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Ardhi Iliyobarikiwa: Kitengo cha Wanawake “Kalima kwa Mnasaba wa Kumbukumbu ya Miaka 104 ya Kuvunjwa Khilafah!”

Kwa mnasaba wa ujio wa kumbukumbu ya miaka 104 ya kuvunjwa kwa dola ya Kiislamu na makhaini wa Kiarabu na Kituruki iliyoasisiwa na Bwana wa Mitume Muhammad (saw) na maswahaba zake watukufu na waliobarikiwa, Mwenyezi Mungu awawie radhi, na kukomeshwa kwa mfumo wa utawala wa Kiislamu (Khilafah) mnamo tarehe 28 Rajab al-Muharram katika mwaka wa 1342 H sawia na 03/03/1924 M, Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir katika The Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) kinawasilisha mkusanyiko wa kalima hizo.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu