Jumanne, 09 Ramadan 1445 | 2024/03/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir Inatoa Rambirambi zake kwa Shahid Sheikh Saleh Al-Arouri na Wenzake

Ujumbe kutoka Mashababu wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Lebanon uliwasilisha salamu za rambirambi kwa ajili ya shahid Sheikh Saleh Al-Arouri, ambaye hivi karibuni alipoteza maisha katika mji mkuu Beirut. Rambirambi hii ilitolewa katika nyumba ya maombolezi iliyoandaliwa kwa ajili yake na wenzake katika Ukumbi wa Quds katika kambi ya Nahr El-Bared, kaskazini mwa Lebanon.

Soma zaidi...

Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Lebanon cha Andaa Semina ndani ya Wigo wa Amali ya Wanawake ya Kiulimwengu kwa ajili ya Palestina

Kitengo cha wanawake cha Hizb ut Tahrir katika wilayah ya Lebanon, leo, Jumapili, kilifanya semina katika mji mkuu, Beirut, ndani ya wigo wa siku ya kufanya kazi ya wanawake ulimwenguni kwa ajili ya Palestina kuyalingania majeshi ya Waislamu kuwaokoa wanawake wa Gaza na watoto wake na kuikomboa Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina), mbele ya uhudhuriaji wa wanawake.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir katika Wilayah Lebanon Inaendelea na Amali zake za Ziara huko Sidon Kuhusiana na Kambi ya Ain al-Hilweh na Athari za Matukio yake

Tangu kuzuka kwa matukio katika kambi ya Ain al-Hilweh mnamo 29/7/2023, haswa wakati na baada ya raundi ya pili, ya vurugu zaidi, lililozuka usiku wa Alhamisi, 6/9/2023, ambapo ilisababisha uharibifu mkubwa, hasa nje ya kambi ya Ain al-Hilweh, Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Lebanon imefanya kila juhudi kuendelea na kazi yake kujaribu kuzima ugomvi na kuzuia mapigano kwa kuwasiliana na wanasiasa na watendaji katika mji wa Sidon na Kambi ya Ain Al-Hilweh.

Soma zaidi...

Sauti Zinazounga Mkono Ushoga Zisingeongezeka Lau si kwa Ufisadi wa Mamlaka na Kutokuwepo kwake hata katika Utabikishaji wa Sheria Walizoanzisha!

Mamlaka ya kisiasa imetoweka, nguvu yake imefifia, na, pamoja na wabunge wake, walipuuza hata vifungu vya katiba walivyovipitisha, ambavyo vinakemea waziwazi na uchafu na ufuska. Waliwaacha watu kwenye hatima yao mbaya, hata katika kupata huduma msingi kama maji na umeme.

Soma zaidi...

Kutabikisha amri ya Mwenyezi Mungu katika Takbir, Tahlil, na Tahmid ndio usalama wa kweli, sio wa vyombo vya usalama na vyumba vyeusi!

Katika siku kumi za mwanzo za Dhul Hijjah, Uislamu umetutaka kutangaza waziwazi Takbir, Tahlil na Tahmid katika maeneo ya umma. Hivyo basi, Hizb ut Tahrir katika Wilayah Lebanon ilitoa wito wa msafara wa gari yakiwa na Rayat (bendera) ya "La ilaha illallah Muhammadur Rasulullah."

Soma zaidi...

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon Wamzuru Mbunge wa Zamani Elie Ferzli

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon, unaowakilisha Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Lebanon, mnamo Ijumaa asubuhi, 28/4/2023, ulimtembelea Naibu Spika wa Bunge na Mwakilishi wa zamani Elie Ferzli, ambapo walijadili hali ya sasa ya kisiasa nchini Lebanon hasa na eneo kwa jumla na tatizo la sasa kuhusu wakimbizi wa Wasyria nchini Lebanon na hatari za kukabiliana na faili hii kwa namna inavyoshughulikiwa kwa sasa ilijadiliwa.

Soma zaidi...

“Sote tuko dhidi ya Kampeni ya Kibaguzi na ya Kidhulma dhidi ya Ndugu zetu Watu wa Ash-Sham” Kisimamo cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon kuwatetea Ndugu Zao

Baada ya kuongezeka kwa mashambulizi ya kibaguzi dhidi ya watu waliokimbia makaazi ya Syria nchini Lebanon, na baada ya Gatuzi la Kaskazini kuchukua maamuzi kadhaa yasiyo ya haki dhidi yao, na uvamizi wa vyombo vya usalama vilivyo nje ya mamlaka yao kwenye kambi za wakimbizi hao

Soma zaidi...

Chini ya Vichwa vya Kutiliwa Shaka kama vile Jinsia, na chini ya Kisingizio cha Kutiliwa Shaka cha Mikataba ya Kimataifa! Jamii na makundi yanayofadhiliwa na Magharibi yanajaribu kueneza sumu yao miongoni mwa Waislamu

Siku chache zilizopita, tuliona makundi, vyama, na taasisi zinazofungamana na Umoja wa Mataifa zikifanya kampeni zenye vichwa vinavyobeba maana zinazokinzana na herufi za kimsingi za Waislamu kwa upande mmoja, na hazina uhalisia wowote miongoni mwetu kwa upande mwingine.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu