Jumanne, 09 Ramadan 1445 | 2024/03/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Uhakiki wa Habari 11/10/2023

Maafisa wa Kizayuni wameiita 7 Oktoba sasa huko 9/11 wakati Hamas na makundi mengine ya upinzani yalizindua operesheni kutoka ardhini, baharini na hewani dhidi ya 'Israel'. Wapiganaji wa Hamas waliingia maili 15 ndani ya umbile la Kiyahudi na kuchukua kambi za kijeshi, vituo vya polisi na mateka wengi.

Soma zaidi...

Uhakiki wa Habari 23/08/2023

Viongozi na maafisa wakuu kutoka mataifa matano yenye uchumi unaoinukia duniani walikutana jijini Johannesburg kwa mkutano wa siku tatu wa BRICS. Jumuiya hiyo—ambayo wanachama wake ni Brazil, Urusi, India, China, na Afrika Kusini—inawakilisha asilimia 40 ya watu wote duniani na robo ya Pato lake la Taifa.

Soma zaidi...

Uhakiki wa Habari 12/07/2023

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amekubali kuunga mkono uanachama wa NATO wa Sweden katika mkesha wa kuamkia mkutano wa siku mbili wa NATO nchini Lithuania. Katibu Mkuu wa NATO Jens Stoltenberg alisema kuwa Erdogan amekubali kuwasilisha itifaki za kujiunga kwa Sweden kwa Bunge la Uturuki, Bunge Kuu la Kitaifa, ambalo linahitaji kuidhinisha uanachama wa NATO wa Stockholm.

Soma zaidi...

Uhakiki wa Habari 14/06/2023

Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif alitangaza mnamo Juni 11 kwamba shehena ya kwanza ya mafuta ghafi ya Urusi iliyopunguzwa bei ilikuwa imewasili Karachi. Huku bei kamili ambayo Pakistan ililipa kwa mafuta hayo ikiwa bado haijafahamika, shirika la habari la Reuters liliripoti kuwa Pakistan ililipia usafirishaji kwa kutumia Yuan ya China.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu