Vyama vya Kiislamu na Visivyokuwa vya Kiislamu ni Hali Halisi Mbili Tofauti Zinazohitaji Hukmu Tofauti za Sharia!
- Imepeperushwa katika Afghanistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Wakati wa uwajibikaji wa Serikali kwa Kongamano la Taifa, Waziri wa Sheria wa Imirati ya Kiislamu ya Afghanistan alisema kuwa uasisiwaji wa vyama vya kisiasa ni 'dhidi ya Sharia na mapenzi ya watu' na kwamba uendeshwaji wao ‘umekatazwa katakata’ nchini.