Jumanne, 09 Ramadan 1445 | 2024/03/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Baada ya Majanga na Damu ... Mkataba wa Riyadh kati ya Hadi na Baraza la Mpito, Uko wapi Uislamu na Vipengee vyake?!?!

Mnamo Jumanne, 05/11/2019, Saleh Al-Khanbashi, akimuwakilisha Hadi, na Nasser Al-Kubaii, akiwakilisha serikali ya mpito, walisaini Mkataba wa Riyadh kumaliza mapigano kati ya vikosi vyao tangu tarehe 2/08/2019. Mkataba huo ni pamoja na kuunda serikali isiyozidi mawaziri 24 na wawe sawa kati ya majimbo ya kaskazini na kusini, na uteuzi wa Hadi wa magavana katika majimbo ya kusini.

Soma zaidi...

Rajab Mwezi ambao watu wa Yemen waliukubali Uislamu na ndani ya mwezi huo huo Khilafah Ilivunjwa

Tarehe Ishirini na nane Rajab yapita kila mwaka kwa Ummah wa Kiislamu ikileta ndani yake machungu ya kumbukumbu ya kuvunjwa Khilafah mwaka wa 1342 Hijria sawia na 3 Mach 1924 Miladi. Mwaka huu 1440 Hijria, tunakaribia mwisho wa karne moja bila kua chini ya kivuli cha Khilafah (wala sio siku tatu na usiku wake), wakati wa kuchagua Khalifah na kumpa bay’ah kuhukumu kwa kitabu cha Mwenyezi Mungu (swt) na Sunnah za Mtume wetu Muhammad (saw).

Soma zaidi...

Pande Zinazozozana Zinawaongoza watu wa Yemen kutoka Moto hadi Moto, Kuwatumikia Wakoloni...Enyi Watu wa Yemen, Jihadharini na Moto wa Bwana wa Ulimwengu

Watu wa Yemen wanaendelea kukumbwa na moto wa mzozo baina ya Uingereza na Amerika, ambao umekuwa ukitanda nchini mwao kwa karibu miaka mitatu. Mzozo huu na mapigano yameharibu mazao na wanyama. Na licha ya mateso ya watu wa Yemen kutokana na njaa, umaskini, ukosefu wa huduma za kimsingi...

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu