Utendaji Mbaya wa Serikali Unaonyesha Sura Halisi ya Chuki kwa Uislamu ya Dola la Uswidi
- Imepeperushwa katika Sweden
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hadi leo, Quran bado inachomwa moto mara kwa mara katika mitaa ya Uswidi. Serikali yatangaza kwamba vitisho dhidi ya Uswidi vimeongezeka, na polisi wa usalama wamepandisha kiwango cha vitisho vya ugaidi kutoka 3 hadi 4.