Jumapili, 25 Muharram 1447 | 2025/07/20
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Risala za Dharura kuhusu Uhalifu na Ukiukaji wa Hay'at Tahrir Ash-Sham!

Risala zilizotolewa na kundi la wabebaji Da’wah zilizoelekezwa kwa Hay’at Tahrir Ash-Sham (HTS) baada ya kuvamia nyumba za wabebaji Dawah na kuwakamata mashababu kadhaa wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Syria kwa njia ya kishenzi, ukiukaji utukufu, katika mandhari ya kutisha iliyo mbali na maadili ya Uislamu na Waislamu.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan Maoni ya Habari 19 Aprili 2023

Pindi Waislamu wanapodai kuhamasika kwa vikosi vyao vya kijeshi ili kuzikomboa Ardhi za Waislamu zinazokaliwa kwa mabavu, watawala husisitiza kuheshimiwa kwa mipaka ya kitaifa. Baada ya kuivunja Khilafah, wakoloni waliweka mipaka ya kitaifa baina ya Waislamu. Waliwagawanya na kuwadhoofisha Waislamu, ili kuhakikisha ukaliaji kimabavu wa ardhi zao.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu