Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo 434
- Imepeperushwa katika Afisi Kuu ya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Ulinganizi wa Kiulimwengu Sehemu ya 60 – Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume
Katika muda wa wiki mbili zilizopita, kumekuwa na maandamano kote nchini Iran na katika sehemu nyingine za dunia kujibu kifo cha Mahsa Amini, mwanamke wa Kikurdi mwenye umri wa miaka 22, ambaye inasemekana alikamatwa na polisi wa maadili wa Iran kwa kutofinika nywele zake ipasavyo na Hijabu na kupigwa hadi kufa akiwa chini ya ulinzi wao.
Ulinganizi wa Kiulimwengu Sehemu ya 59 – Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume
Mnamo tarehe 25 Agosti 2022, Tume iliyoteuliwa na serikali ya Denmark ilipendekeza kupigwa marufuku kwa wasichana wanaovaa Hijab katika shule za msingi nchini humo.
Ulinganizi wa Kiulimwengu Sehemu ya 58 – Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume
Pongezi kutoka kwa Wabebaji Ulinganizi Kote Ulimwenguni kwa Mnasaba wa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1443 H